Godoro gani la quality ya juu kuepusha maumivu ya mgongo?

Godoro gani la quality ya juu kuepusha maumivu ya mgongo?

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo lisizidi 1M (Shilingi milion 1). Natanguliza shukrani zangu kwenu naomba kupata ushauri wenu
 
Naweka kambi hapa... Maana nilinunua hilo Godoro wanaita Dodoma.. liko na features zote wazosema tukague kujua kama ni halis au lah. Cha ajabu lina Miaka Miwili ukilala linabonyea bonye hali inayopelekea kuumwa sana Mgongo
Utakua umebamizwa Dodoma halisi ILIYOVISHWA Foronya ya Dodoma QFL. Yalishanikuta, Ninalo Moja,nmelitelekeza stoo😊
 
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo lisizidi 1M (Shilingi milion 1). Natanguliza shukrani zangu kwenu naomba kupata ushauri wenu
Quality ya godoro haipimwi kwa kuzuia maumivu ya mgongo.
 
Naweka kambi hapa... Maana nilinunua hilo Godoro wanaita Dodoma.. liko na features zote wazosema tukague kujua kama ni halis au lah. Cha ajabu lina Miaka Miwili ukilala linabonyea bonye hali inayopelekea kuumwa sana Mgongo
ni kweli hata mimi nilinunua magodoro ya dodoma kiwandani kwao kabisa .Tena nilinunua mawili inch 6 kwa sita inch 12 na la watoto AISEE magodoro yale yana bonyea yanaacha shimo,yanaumiza mgongo balaa yani una amka umechoka sana na unaamka ukiwa unaumwa.KUMBE nikaja nikaambiwa magodoro ya dodom mazuri QFL sio dodoma kumbe kuna utofauti kati ya magodoro ya dodoma na QFL.

Kwa hasira nikaenda kununua magodoro yanayoitwa primiamu.Haya kwa kweli ni mazuri sema bei yake imechangamka kidogo.
 
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo lisizidi 1M (Shilingi milion 1). Natanguliza shukrani zangu kwenu naomba kupata ushauri wenu
Magodoro ya uhakika nunua Tanfoam kama una maumivu ya mgongo chukua orthopedic ya Tanfoam. Kujua bei na wapi utapata wacheki kenye page zao watakupa bei na namba za wakala kutokana na eneo unalopatikana.
 
Back
Top Bottom