kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo lisizidi 1M (Shilingi milion 1). Natanguliza shukrani zangu kwenu naomba kupata ushauri wenu