Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nikupe elfu 50 nije kulichomoa huko stoo ndugu yako nilalieUtakua umebamizwa Dodoma halisi ILIYOVISHWA Foronya ya Dodoma QFL. Yalishanikuta, Ninalo Moja,nmelitelekeza stoo😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe elfu 50 nije kulichomoa huko stoo ndugu yako nilalieUtakua umebamizwa Dodoma halisi ILIYOVISHWA Foronya ya Dodoma QFL. Yalishanikuta, Ninalo Moja,nmelitelekeza stoo😊
Dodoma utalia tu! Ulitakiwa ununue ya le ya QFL ya Dodoma na si Magodoro Dodoma.Naweka kambi hapa... Maana nilinunua hilo Godoro wanaita Dodoma.. liko na features zote wazosema tukague kujua kama ni halis au lah. Cha ajabu lina Miaka Miwili ukilala linabonyea bonye hali inayopelekea kuumwa sana Mgongo
Kuna Magodoro Dodoma na Qfl Godoro Dodoma, umenunua lipi?Naweka kambi hapa... Maana nilinunua hilo Godoro wanaita Dodoma.. liko na features zote wazosema tukague kujua kama ni halis au lah. Cha ajabu lina Miaka Miwili ukilala linabonyea bonye hali inayopelekea kuumwa sana Mgongo
ni kweli hata mimi nilinunua magodoro ya dodoma kiwandani kwao kabisa .Tena nilinunua mawili inch 6 kwa sita inch 12 na la watoto AISEE magodoro yale yana bonyea yanaacha shimo,yanaumiza mgongo balaa yani una amka umechoka sana na unaamka ukiwa unaumwa.KUMBE nikaja nikaambiwa magodoro ya dodom mazuri QFL sio dodoma kumbe kuna utofauti kati ya magodoro ya dodoma na QFL.
Kwa hasira nikaenda kununua magodoro yanayoitwa primiamu.Haya kwa kweli ni mazuri sema bei yake imechangamka kidogo.
Around laki 7 kwa 5x6 inch 8 yanaenda hadi 1M+ kama unachukua full na kitanda chakeHivi yale magodoro ya spring huwa yanauzwaje
Usithubutu.. shauri yako hamna kitu humo nimeambiwa namuuza magodoro senior hapa g.mbotoKuna magodoro mapya naona yameibuka sokoni kwa sokoni nilijaribu kuyatumia naona yako poa sana. Yanaitwa Golden sun.
🙏Kulala kwenye ulimi tena sakafuni ni bora zaidi na ni tiba dhidi ya maumivu ya misuli.
Hizo ulizonunua ni bei gani?ni kweli hata mimi nilinunua magodoro ya dodoma kiwandani kwao kabisa .Tena nilinunua mawili inch 6 kwa sita inch 12 na la watoto AISEE magodoro yale yana bonyea yanaacha shimo,yanaumiza mgongo balaa yani una amka umechoka sana na unaamka ukiwa unaumwa.KUMBE nikaja nikaambiwa magodoro ya dodom mazuri QFL sio dodoma kumbe kuna utofauti kati ya magodoro ya dodoma na QFL.
Kwa hasira nikaenda kununua magodoro yanayoitwa primiamu.Haya kwa kweli ni mazuri sema bei yake imechangamka kidogo.
zile za dodoma nilinunua kiwandani kwao hapo fourways dodoma laki 4.15 kwa pc moja, mawili laki 8 hivi ya ukubwa wa 6*6*12 kila moja.NDIO YALE MABAYA YANAYOBONYEA NA KUUMIZA MGONGOHizo ulizonunua ni bei gani?
Ilaaa?Quality ya godoro haipimwi kwa kuzuia maumivu ya mgongo.
asante sana, Katika mambo ambayo Tanzania inafeli ni pamoja na Magodoro, mara kadhaa nimeagiza Magodoro Johannesburg, jambo ambalo ni gharama kubwa mno!zile za dodoma nilinunua kiwandani kwao hapo fourways dodoma laki 4.15 kwa pc moja, mawili laki 8 hivi ya ukubwa wa 6*6*12 kila moja.NDIO YALE MABAYA YANAYOBONYEA NA KUUMIZA MGONGO
Hili la premium size 6*6 *10 hawana inchi 12 walikuwa wanaishi inchi 10 tu
nilinunua dodoma kwa bei ya laki 9 na kitu au milion1 kasoro. kwa pc moja
ILA NI ZURI SANA.
Magodoro mengi mtaani ni fake- aende kwenye duka la kampuni husuka, comfy vita raha wapo mlimani, qfl nenda kariakoo kwa wahindi. Ukitaka kujua godoro fake ukiona godoro ni pale unaambiwa godoro la 5 kwa 6 na kuendelea la inch 8 and over linabebwa kwa pik pik. Density ya godoro oruginal kama hilo huwez kukunja hata mara mbili ukabebq kwenye bodaWenye Utaalam Semeni Anunue Lipi
Hii premium ni brand au ..???zile za dodoma nilinunua kiwandani kwao hapo fourways dodoma laki 4.15 kwa pc moja, mawili laki 8 hivi ya ukubwa wa 6*6*12 kila moja.NDIO YALE MABAYA YANAYOBONYEA NA KUUMIZA MGONGO
Hili la premium size 6*6 *10 hawana inchi 12 walikuwa wanaishi inchi 10 tu
nilinunua dodoma kwa bei ya laki 9 na kitu au milion1 kasoro. kwa pc moja
ILA NI ZURI SANA.
TANFOAM ARUSHA nafikiri wana aina nyingi moja wapo ndio hiyo premium.Hii premium ni brand au ..???