Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Kuna magooro huwa yanakuja yamekunjwa kutoka KiwandanMagodoro mengi mtaani ni fake- aende kwenye duka la kampuni husuka, comfy vita raha wapo mlimani, qfl nenda kariakoo kwa wahindi. Ukitaka kujua godoro fake ukiona godoro ni pale unaambiwa godoro la 5 kwa 6 na kuendelea la inch 8 and over linabebwa kwa pik pik. Density ya godoro oruginal kama hilo huwez kukunja hata mara mbili ukabebq kwenye boda