Kuna magooro huwa yanakuja yamekunjwa kutoka KiwandanMagodoro mengi mtaani ni fake- aende kwenye duka la kampuni husuka, comfy vita raha wapo mlimani, qfl nenda kariakoo kwa wahindi. Ukitaka kujua godoro fake ukiona godoro ni pale unaambiwa godoro la 5 kwa 6 na kuendelea la inch 8 and over linabebwa kwa pik pik. Density ya godoro oruginal kama hilo huwez kukunja hata mara mbili ukabebq kwenye boda
ulinunua wapi na bei ni sh ngapi please share hapa mkuu?ni kweli hata mimi nilinunua magodoro ya dodoma kiwandani kwao kabisa .Tena nilinunua mawili inch 6 kwa sita inch 12 na la watoto AISEE magodoro yale yana bonyea yanaacha shimo,yanaumiza mgongo balaa yani una amka umechoka sana na unaamka ukiwa unaumwa.KUMBE nikaja nikaambiwa magodoro ya dodom mazuri QFL sio dodoma kumbe kuna utofauti kati ya magodoro ya dodoma na QFL.
Kwa hasira nikaenda kununua magodoro yanayoitwa primiamu.Haya kwa kweli ni mazuri sema bei yake imechangamka kidogo.
Aisee najuta na ayo magodoroChukua TUF FOAM ulale kama upo kwenye mtumbwi
Epuka kulalia Mto (pillow) inapunguza sana maumivu ya mgongo , mimi mwenyewe ni shuhuda wa hili.Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo lisizidi 1M (Shilingi milion 1). Natanguliza shukrani zangu kwenu naomba kupata ushauri wenu
😅😅godoro inchi 10 lakini ukilala kama umelalia mkateAisee najuta na ayo magodoro