Godoro gani la quality ya juu kuepusha maumivu ya mgongo?

Kuna magooro huwa yanakuja yamekunjwa kutoka Kiwandan
 
ulinunua wapi na bei ni sh ngapi please share hapa mkuu?
 
Chukua TUF FOAM ulale kama upo kwenye mtumbwi
 
Kuna magodoro ni kituko.
Mnalala wawili hamjaguusana ila mkipitiwa na usingizi mnajikuta wote mshatumbukia kati afu pembeni limenyanyuka kila pande utadhani linasubiri mafuriko muondoke maana ni mtubwi kabisaa
 
Epuka kulalia Mto (pillow) inapunguza sana maumivu ya mgongo , mimi mwenyewe ni shuhuda wa hili.
 
Nilikuwa naumia mgongo kwa mda mrefu kwa kutumia haya magoro manene ..nikawa na maumivu sugu kila wakati.
Nilienda field nilipiga miezi 3,yote hyo nililalia vgoro vile vya wanafunzi..
Maumivu yalikata baada ya mwezi nikawa mzima kabisa,
Niliporudi home niliachana na hayo manene natumia kigoro kidogo vya 50000 vile.
Ukiwa na 5x6 nunua viwili visambaze kama nikitandani au chini.
Utakuja nishukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…