fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
huyu jamaa ni mkali sana kwa freestyles na ngoma zake pia ni kali sana lakini siku hizi amepoa sana kuna nini au zama zake zimepita au watu wa media wanambania?? popote ulipo zilla we need u bro
u gat talent flows zako ni kali knoma au ni stress znakufanya ushindwe kurudi tena KWENYE game?? ngoma zako hazichuji mfano
1:illuminaughty
2:boss
3:get of my way etc
we need u
u gat talent flows zako ni kali knoma au ni stress znakufanya ushindwe kurudi tena KWENYE game?? ngoma zako hazichuji mfano
1:illuminaughty
2:boss
3:get of my way etc
we need u