We jamaa inaonekana sio mtu wa mpira kabisa. Kwa hiyo kama Mo Salah pale Chelsea alikuwa anapigwa Sub halafu Liverpool ni panga pangua basi Chelsea ni kubwa kuliko Liverpool?!!Kwetu sisi alikuwa sub kwenu ni mchezaji bora so far, thats the difference between the clubs.
Ameshindwa kumshawishi AmunikeAjibu anakitu cha ziada ila waTz tunapenda kumsifia mtu akiwa hatupo naye tena duniani
Kuna mgonjwa alipelekwa hòspital yupo mapokezi akawa anaangalia mechi huku akisubiri zamu yake ya kumuona dokta baada ya ajibu kufunga mgonjwa alishangilia kisha akamwambia aliemsindikiza warudi nyumbaniWengine wanasema goli la ajibu linatibu UTI,,,
kutoitwa kuna sababu nyingi mfano kuto endana na mfumo wa kocha, nidhamu mbovu (rejea wachezaji wa mikia fc)Dunia nyingne hata timu ya taifa lake hana nafasi tena nchi yenyewe Tanzania kweli kuna mchezaji?
Lile bao tamu sana, utamu wake ulifikia kama lile alipiga Van Persie World Cup 2014 kule Brazil dhidi ya Spain.hili goli kiukweli si la kulilipia mia 500 kibanda umiza ni kudharirisha vitu classic
imenibidi kumuongeza mwenye kibanda umiza 9500 kulillipia hili goli. yaani nilizoea yaona kwenye tv cr7, balle, rooney leo nimelishuhudia na tz
HaahahahahahahahahahJesse: Mwalimu kashasha unalizungumziaje goli la Ajibu
Kashasha: Ajibu amepiga dynamic rocket shot yani kabla ya kupiga alimuangalia kipa akamuona yuko off position yeye akalitengeneza goli katika pembe tatu kisha akaitafuta ile nyuzi 60 ya juu kisha akabend na kutanua mikono kama anavyofanya eagle anapotaka kuruka ili kupata full body balance alafu akapiga hyo shot with full gas at his foot inasemekana shuti ilikuwa linasafiri at 200km/s yani hata kama kungekuwa na makipa 3 golini wangefungwa tu na huyu shagalabagala kama angeufikia ule Mpira basi Baada ya kurudi chini Angeweza kupata stroke au heart attack ndio mana aliruka kiushahidi tu kuondoa lawama but all in all this is a PUSKAS goal
kwako Jesse
Mim niko poa namshkuru mungu.Hahahaa. Nakosaje jamaani mie Yanga lia lia.
Sijambo Alhamdulillah sijui weye?
Tuhuzunike kwa lipi sasa wakati hata angeitwa angeishia kusugua uwezo wake kupambana katika mechi ngumu ni mdogo sana kocha nadhani ameligundua hilo mapema sanaku
kutoitwa kuna sababu nyingi mfano kuto endana na mfumo wa kocha, nidhamu mbovu (rejea wachezaji wa mikia fc)
ukimaliza shangaa ilo kashange pia giroud kutoka WC hana goli wala assist, short on target 1 off target 4 ila kabeba ndoo
ajibu kukosekana timu ya taifa ni jambo la kuhuzunika Tanzania nzima na dunia ya wapenda soka
ukisema ajibu ana uwezo mdogo inafaa ukubali tz hakuna mwenye uwezo kabisaTuhuzunike kwa lipi sasa wakati hata angeitwa angeishia kusugua uwezo wake kupambana katika mechi ngumu ni mdogo sana kocha nadhani ameligundua hilo mapema sana
Anza wewe kusimama mkuu kumpa heshima kila akitua uwanjani, wenye uwezo wapo wengi tu Tanzania muulize wenzake wakina Samatta,Msuva wapo wapi au tuamini yeye umri bado?ukisema ajibu ana uwezo mdogo inafaa ukubali tz hakuna mwenye uwezo kabisa
kwa lile goli ingekua ulaya washabiki wangesimama mechi 14 mfululizo kumpa heshima Ajibu kila atakapo tua maguu kwa kiwanja.
sema ww na wenzio roho za kwa nini, mbona mie nakubali kagere ni bingwa wa kutandika makofi uwanja
Lile goli litakuwa lilikuridhisha na kukufurahisha sana
We jamaa inaonekana sio mtu wa mpira kabisa. Kwa hiyo kama Mo Salah pale Chelsea alikuwa anapigwa Sub halafu Liverpool ni panga pangua basi Chelsea ni kubwa kuliko Liverpool?!!
Kwa heshima kabisa toka mwaka 2018 uanze sijawahi soma content ya kipuuzi kama hii.
Mkuu hivi upo timu gani vile?Mwambie Ajib akupige Kwanza Wewe hilo Bao kisha likishakuingia vilivyo nitakuja Kukuhoji unipe maoni yako lilikuwaje.
Tumekuja na tunasema hivi..Hahaaaa. Ngoja waje na povu Mkuu.
Goli la Ronaldo never hit the bar ajib goli yake imegonga bar ya juu (angled) nakuvuka goal line hili bao bado ni best wakati wote. Goli hili litakuja kufifia labda pawepo na tukio lingine mfano World cup ichezwe Tanzania.Tumekuja na tunasema hivi..
Magoli kama yale mbona yanafungwa sana?? Au Mkuu Jindal Singh umeanza kuangalia mpira jumapili?? Juzi juzi Chilunda alifunga bao sio kama lile bali ni bora zaidi ya lile.
Achana na Chilunda, Baba CR7 anafunga kama yale, mwanae CR7 Jr nae anafunga kama hayo.. Mimi sembo nilifunga magoli mengi sana ya hivyo enzi zangu.. Na sasa mwanangu Shaffih, si kwamba eti mpaka umpe nafasi ndo afunge (kama ajibu) yeye hata akiwa katikati ya msitu mnene wa mabeki ndo magoli yake hayo shuleni kwao.