Goli la Oliver Girlod lazua mjadala

Goli la Oliver Girlod lazua mjadala

KAULI WALIZOZIONGEA WATU MASHUHURI TOFAUTI KUHUSU GOAL LA GIROUD :

PELE : goal alilofunga Giroud halitafungwa tena kwenye karne hii.. Labda nikama tu Mungu atanirudisha mimi Pele kwenye umri wa miaka 17..

DIEGO COSTA : Baada ya kulitazama tu lile goal la Giroud.. Nikampigia Eden Hazard simu aje mazoezini.. Alipofika amenipigia krosi mipira elf 2 tena nikiwa bila kipa.. Nasema nikimuogopa Mungu. Nimeshindwa kufanya alichofanya Giroud..

LIONEL MESSI : Watu wanasema mimi ni kiumbe wa sayari nyingine.. Lakini baada ya kulitazama goal la Giroud.. Naanza kuamini, huenda Giroud tunatoka naye sayari moja..

MALKIA ELIZABETH : Kama kesho kusingekuwa na mechi za ligi kuu. Ningeamuru waziri mkuu atangaze iwe siku ya mapumziko.. Ili watu watulie majumbani mwao. Kuangalia marudio ya goal la Giroud..

CHRISTIANO RONALDO :. Kama Giroud angefunga hili goal kabla sijakabidhiwa Ballon dour.. Nisingethubutu kupata ujasiri wakuipokea ile tuzo..

ANTHONY LUSEKELO: Mungu amenijalia upako wa kutenda miujiza tofauti chini ya mbingu .. Lakini sio kama ile aliyoifanya Oliver Giroud.
Mkuu umenichekesha sana dah! Ungekuwa huna ajira nikuajiri uwe unacheza na wanangu.
 
Nipo home najaribu kulipigia mazoezi lakini nafeli..ok..nitajaribu na kesho mpaka nilipatie..khaaa... Hivi huyu Rick Ross..alifanyaje
 
8c33660945413199199570a37a75d02a.jpg
 
Arsene Wenger: Olivier Giroud scorpion goal one of Arsenal manager's top five
 
hahaa hayo magoli yanaitwa magoli ya ng'e(scorpion goals); mbona yako mengi tu sema wewe unaweza kuwa mpenzi wa arsenal,,,

Ila ni aina ya magoli mazuri mana sithani kama unaweza kuyafanyia mazoezi mana magoli haya hutegemea mpira utakukuta kwenye mkao gani,,,

Ni aina ya magoli mazuri, hongera GIROUD
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Itabidi Arsenal wajipongeze tu na hili goli, maana hakuna ubingwa wala top 4 mwaka huu.
 
Back
Top Bottom