Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Acha utopolo mkuu kasome kanuni,
 
Kumbe nimegundua kwa nini utopolo kila siku wanalalamika wanaonewa tatizo ni kwamba hawajui mpira. Leo wangekuwa wao polisi wangepata kazi ya kulinda usalama.
Wewe ni mpumbavu refa ndiye fala hakutakiwa kuwa sehemu ya malumbano kutoa maelekezo kwa wachezaji maana yake mpira umesimama

Kama ulifatilia ile gemu azam walipata faulo na walianza haraka na alikataa na kurudisha mpira kwanini?

Angalia tofauti na wenzetu refa anakuwa hayupo kwenye maongezi na wachezaji ndio magoli yanaruhusiwa
 
Mchezo wa jana Azam hakutendewa haki. Ule ni uonevu mkubwa.
 
Acheni mihemko
Your browser is not able to display this video.
 
Kosa alilolifanya refa ni kujadili na wachezaji wa azam, refa angekuwa haongei na wachezaji waliofungwa lile goli ni halali
 
Endelea kutazama video nyingi za soka la ulaya kuna siku utaliona goli au magoli kama lile.
 
Kosa alilolifanya refa ni kujadili na wachezaji wa azam, refa angekuwa haongei na wachezaji waliofungwa lile goli ni halali
Wachezaji wa azam walionyesha kutokomaa kimataifa na uchovu uliwaingia. Hakuna kosa kwa Morrison kuanzisha faulo haraka haraka.
 
Wachezaji wa azam walionyesha kutokomaa kimataifa na uchovu uliwaingia. Hakuna kosa kwa Morrison kuanzisha faulo haraka haraka.
Sheria inasema timu iliyochezewa faulo inaweza kuanzisha mpira haraka ikiwa tu wachezaji waliofanya faulo wako yadi 10 kutoka mpira ulipo
 
Aliyekwambia refa hakosei ni nani?
 
Neno "kwa kawaida " unamaanisha Nini? Ni sheria au mazoea?
 
Sheria inasema timu iliyochezewa faulo inaweza kuanzisha mpira haraka ikiwa tu wachezaji waliofanya faulo wako yadi 10 kutoka mpira ulipo
Inasema hivyo lakini sio utekelezaji halisi. Real Madrid walifunga goli kama la jana. Thierry Henry aliwafunga Chelsea goli kama lile. Mpira ni kujiongeza.
 
Mkuu kuna vitu unachanganya, hapa refa alikuwa haongei na wachezaji wa sevila, wakati kwa upande wa kwetu huku refa alikuwa anaongea na wachezaji wa azam
Waendelee kuongea na refa pia siku nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…