Goli la Simba dhidi ya Azam ASFC 2021

Wangefunga Azam goli kama lile refa angekubari?
 
Siyo refa akiwa anazungumza na wachezaji,Bali wachezaji wa Azam wakiwa wanamlalamikia refa.Waluacha jukumu lao la kukaba na kuomba wapewe ukuta wakaanza kulalamika na faulo wamecheza wenyewe
 
Utopolo ni nyani tu wanachoweza ni kuzomea zomea na kutukana tu
 
Huyo mwenyewe uliemtaja ka-copy.
Original author ni Kumwembe.

Si kweli,ni Jr.Farhanjr,uneless hufuatilii style ya uandishi wake,ameandika yeye,kisha Shaffih Dauda akairepost na akampa Credit mwandishi.Edo ameandika kwa ufupi sana,nenda kaangalie muda wa Jr.Falhan kapost kisha angalia kwa Edo.Mpeni credit kijana wa watu acheni roho mbaya.
 
We jamaa inaonyesha ni mshamba mtukufu
 
mimi yanga ila goal la jana ni goal zur na la halal uzembe ni wa azam watatutia aibu huko mbelen wajifunze kaangalie game ya madrid na sevila tena bora lile ndio utajua uzembe kama ule hautakiw walitakiwa watie mpira kwapan huku wanabishana na muamuz au mmoja atande kwenye mpra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…