Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakumbuka goli la origi anawauwa Barcelona uefa kwa pas ya Alexander anordNi mjinga tu au mtu asiyejua kanunu za mpira anaweza kusema ni goli halali lile. Mpira uliokufa unaanzishwa na refaree.
Nakuhakikishia kama lile lisingekuwa goli basi refa angesema mpira upigwe upya na kuwahesabia Azam hatua za kuweka ukuta.Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.
Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.
Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.
Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.
Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.
Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.
Kipyenga kipulizwe.
Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe
Wenye faida na pigo wapige mpira.
Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.
Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama
Kulingana na Sheria na kanuni za chuo Cha utopolo siyo goli.Write your reply...NI MWENDAWAZIMU PEKEE ATAKAEAMINI LILE NI GOLI HALALI, LILE SIO GOLI HALALI, AZAM WAMEONEWA
Haya maandishi yako yana matobo. Kama kweli mpigaji takes all, mbona akipiga mpira ukazuiwa na aliye karibu adhabu inarudiwa wakati alianza kwa kiherehere chake. Ni mchezo gani huo ambao mwamuzi hana mamlaka kwa baadhi ya matukio?
Siyo kwa marefa wa Tanzania.Nakuhakikishia kama lile lisingekuwa goli basi refa angesema mpira upigwe upya na kuwahesabia Azam hatua za kuweka ukuta.
Wewe hujui kanuni za mpira uliokufa na hauko tayari kuelekezwa maana umeshajiwekea kizingiti chakutokubali kuwa mjinga. Kiufupi wewe kubali kuwa mjinga ujielimishe.Ni mjinga tu au mtu asiyejua kanunu za mpira anaweza kusema ni goli halali lile. Mpira uliokufa unaanzishwa na refaree.
Kama hujui kitu kwani lazima ubishane. Hichi ni kitu kipya kwako kwahiyo ni vizuri ukajifunza kuliko kubishanaHaya maandishi yako yana matobo. Kama kweli mpigaji takes all, mbona akipiga mpira ukazuiwa na aliye karibu adhabu inarudiwa wakati alianza kwa kiherehere chake. Ni mchezo gani huo ambao mwamuzi hana mamlaka kwa baadhi ya matukio?
Muwe mnaangalia mpira msiwe kama wamama
Angalia video yoteMkuu bado mazingira hayafanani.
Kwa mfano refarii angekuwa anaongea na golikipa na Morisson akipiga mpira golini,lingekuwa goli??
tusibishane sana,waambieni Yanga wafanye hivyo jumamosi tuoneSasa kama hio ya Liverpool siuonan kabisa walikua wamejipanga na refa haongei na mchezaj yeyote yule
Nakuhakikishia watavunja timu nzima yaani. Hahahatusibishane sana,waambieni Yanga wafanye hivyo jumamosi tuone
Hakuna mkuu.Angalia video yote
Ni mjinga tu au mtu asiyejua kanunu za mpira anaweza kusema ni goli halali lile. Mpira uliokufa unaanzishwa na refaree.
Faulo ilipulizwa.Maana yake mchezo umesimama.
Ili mchezo uendelee lazima refarii aruhusu tena.
Mazingira yale ya mpira hata kama ni kwiki thinking'i siyo sahihi.
Ingekuwa refarii haongei na mtu sawa.
Ila mchezaji mmojawapo wa Azam yupo na refarii,wanaongea.
Hata kama kanuni zinaruhusu jambo hili siyo sahihi.
Kipyenga kipulizwe.
Pale ni karibu na goli,ukuta uwekwe
Wenye faida na pigo wapige mpira.
Mazingira ya namna ile yanatengeneza maamuzi yasiyo sahihi kwa waamuzi,wengine wanaweza kuzuia ile 'move' ya mpira na kuamuru upigwe tena.
Wengine wakaacha lililoanza liendelee.Yaani tunaruhusu maamuzi ya 'utashi' badala ya maamuzi ya sheria.
Lingekuwa goli. Pia uwe unatofautisha Kati ya refa kumuita mtu kuongea naye na mtu kwenda kumlalamikia refa.Mkuu bado mazingira hayafanani.
Kwa mfano refarii angekuwa anaongea na golikipa na Morisson akipiga mpira golini,lingekuwa goli??
Uwanjani watu wanaenda kuongea au kucheza mpira? Kuna siasa pale?Matukio ni mengi ila labda hujaelewa.
Refarii alikuwa anaongea na watu(wakabaji wa mpira)
Kama alikuwa haongei nao,it is right.