.
Usitulilie badae!!
Nani awalilie, kwa lipi? Huyo anatapatapa tu. Tumeshaona wengi na mwisho wao unaeleweka, historia ipo, cha ajabu hawajifunzi. Akina Mrema na kundi lake, na baadae Njelu Kasaka, si tunawaona mitaani wanalialia tu hovyo? Huyu ndiye atakakuja kulialia tu kama wenzie wanaolialia sasa hivi.
Total miscalculation. Hadi huruma!