Goli tano za Yanga zimeenda na Watu : Klabu ya Fountain Gate yalivunja benchi lake la ufundi

Goli tano za Yanga zimeenda na Watu : Klabu ya Fountain Gate yalivunja benchi lake la ufundi

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
20241229_182117.jpg

Dunia haina huruma aisee! Poleni sana!

Uongozi wa timu yetu ya Fountain Gate Football Club umeamua kulivunja benchi lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha wetu mkuu Mohamed Muya.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Klabu inawashukuru kwa mchango wao ndani ya timu na kuwatakia kila la kheri.
 
Acha kuandika ujinga, hiyo timu haijakuwa na matokeo mazuri kwa muda mrefu sababu wala sio hayo magoli ya Yanga
 
Wanamfukuza Mohamed Muya wataenda kuokoteza kocha championship waje waanze kupigika kama costal
 

Dunia haina huruma aisee! Poleni sana!

Uongozi wa timu yetu ya Fountain Gate Football Club umeamua kulivunja benchi lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha wetu mkuu Mohamed Muya.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Klabu inawashukuru kwa mchango wao ndani ya timu na kuwatakia kila la kheri.
Kwani timu imeshatoka uwanjani? Si bado wanapeana mikono na waamuzi😀.
Au wapo kwenye foleni?
 
Kama itakuwa kweli, basi uongozi ulishajiandaa kabla ya mchezo kuchezwa. Kinyume na hapo, naungana na baadhi ya wajumbe wanaosema hiyo taarifa ni ya uongo.
 
Kama itakuwa kweli, basi uongozi ulishajiandaa kabla ya mchezo kuchezwa. Kinyume na hapo, naungana na baadhi ya wajumbe wanaosema hiyo taarifa ni ya uongo.
Itakuwa ni taarifa ya uongo kweli
 
Mojawapo ya kazi ngumu katika ulimwengu wa michezo ni ukocha wa soka. Kufukuzwa nje nje.
 
Kama kweli iyo itakua timu ya mfukoni.
Unafukuza vip bench bila kikao chochote Cha kamati tendaji!!
Barua aina ata sahihi.
 
Back
Top Bottom