Goli tano za Yanga zimeenda na Watu : Klabu ya Fountain Gate yalivunja benchi lake la ufundi

Goli tano za Yanga zimeenda na Watu : Klabu ya Fountain Gate yalivunja benchi lake la ufundi


Dunia haina huruma aisee! Poleni sana!

Uongozi wa timu yetu ya Fountain Gate Football Club umeamua kulivunja benchi lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha wetu mkuu Mohamed Muya.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Klabu inawashukuru kwa mchango wao ndani ya timu na kuwatakia kila la kheri.
Hizi ni sanaa za maigizo na tamthilia.
Wenye D mbili tunajua michezo hii ya yanga.Wanatumia akili ya shetani kurubuni watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ili wahisi yanga imeshinda kiukweli kweli.
 
1733633486508.jpg
i
 
Sijui kwanini mpaka ITV wanatangaza habari za uongo!? 🤔
Screenshot_20241229_201053_Lite.jpg
 
Hizi ni sanaa za maigizo na tamthilia.
Wenye D mbili tunajua michezo hii ya yanga.Wanatumia akili ya shetani kurubuni watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ili wahisi yanga imeshinda kiukweli kweli.
Kama unaona maigizo leta timu yako
 
Wale mabeki wameoza. Kama benchi limevunjwa mabeki wachapwe viboko
 

Dunia haina huruma aisee! Poleni sana!

Uongozi wa timu yetu ya Fountain Gate Football Club umeamua kulivunja benchi lote la ufundi lililokuwa likiongozwa na kocha wetu mkuu Mohamed Muya.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Klabu inawashukuru kwa mchango wao ndani ya timu na kuwatakia kila la kheri.
Na bado! Watani wa jadi wakae mkao wa goli tano tena!
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
 
Back
Top Bottom