Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi

Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa kuwamini hata kidogo!

Ukiangalia magoli yote mawili ya jana yaliyofungwa na Fiston kaamka mayele utagundua kuwa kuna kauzembe cha makusudi kilichofanywa na hilo duka la GSM pale golini. Goli kipa wa kimataifa huwezi akafungwa goli za kinamna ile, yaani kipa anashindwa kunyoosha mikono yake kudaka kashuti kadhaifu kama kile tena kashuti cha chinichini kama kile....!!

Haya maduka huwa yanapokea tu maelekezo kutoka kwa waajiri wao wa zamani ili tu yafungishe na mwisho wa siku yanaenda kuchukua (yanaingiziwa) donge nono.

Ni kipindi sasa simba itafute golikipa wa kiwango cha juu kutoka nje ya tanzania maana hawa wazawa wanaendekeza sana matumbo yao kuliko maslahi ya timu.

Wasalam
 
Kwa hyo mishahara haiwatoshi huko Simba!!

Si mnasema nyie n timu kubwa pesa mnayo hakuna njaa klabuni kwenu

Sasa maneno haya yanatoka wapi Tena!!

Mwishowe mtasema babra n chakula ya mhandishi hersi

Jengen timu achen kelele mpira n mchezo wa waz kabisa wala hauchezwi mdomoni

Ule usemi wa Simba n lidude likuubwa umeenda wapi?

Geita gold wameagiza karanga mbich toka hapa itilima kwa ajil ya wachezaj jiandaeni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hyo mishahara haiwatoshi huko Simba!!

Si mnasema nyie n timu kubwa pesa mnayo hakuna njaa klabuni kwenu...
Hakuna mkoa una karanga nyingi kama geita tena zile kubwa nyekundu mchanganyiko na mabaka meupe kama jezi ya Simba, hakuna mtu wa geita anayeweza kutafuta karanga itirima labda kinyume chake... mengine nakubaliana nawewe.
 
Hakuna mkoa una karanga nyingi kama geita tena zile kubwa nyekundu mchanganyiko na mabaka meupe kama jezi ya Simba, hakuna mtu wa geita anayeweza kutafuta karanga itirima labda kinyume chake... mengine nakubaliana nawewe.
Nasikia za hapa itilima breed yake ina protin Sana kuimarisha viungo vya katikati

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hyo mishahara haiwatoshi huko Simba!!

Si mnasema nyie n timu kubwa pesa mnayo hakuna njaa klabuni kwenu

Sasa maneno haya yanatoka wapi Tena!!

Mwishowe mtasema babra n chakula ya mhandishi hersi

Jengen timu achen kelele mpira n mchezo wa waz kabisa wala hauchezwi mdomoni


Ule usemi wa Simba n lidude likuubwa umeenda wapi?

Geita gold wameagiza karanga mbich toka hapa itilima kwa ajil ya wachezaj jiandaeni

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mchezo wa wazi halafu mwaka wa tano huu mnaogopa kupita mlango mkubwa?? Mchezo wa wazi huku kila siku mnakuwa wa mwisho kufika uwanjani kila mkutanapo na simba?!!
 
Jamani stop it..,hivi mnajua wanajisikiaje?.kweli mtu ajibamize vile wakati amenunuliwa?.mfano Inonga mpk mdomo walimpasua akawa anatoka damu nyie achenii kuhusu wachezaji. Labda huyo mzungu ndo mnaweza kumsema ila otherwise wapeni pole na hongera kwani hata wao pia walifunga wamezidiwa moja tuu na Beno aliokoa magoli mengi tuu. I feel vile wana feel
 
Jamani stop it..,hivi mnajua wanajisikiaje?.kweli mtu ajibamize vile wakati amenunuliwa?.mfano Inonga mpk mdomo walimpasua akawa anatoka damu nyie achenii kuhusu wachezaji. Labda huyo mzungu ndo mnaweza kumsema ila otherwise wapeni pole na hongera kwani hata wao pia walifunga wamezidiwa moja tuu na Beno aliokoa magoli mengi tuu. I feel vile wana feel
Ukishakua mkubwa ndio utaelewa siasa na umafia uliomo ndani ya soka la bongo. Jiulize kwann polisi hu-deal na walinzi wa magodauni ya wahindi kwanza pindi wizi unapotokea licha ya kuwa walinzi hao wamejeruhiwa vibaya ktk mapambano dhidi ya majambazi!?
 
Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi

Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa kuwamini hata kidogo!

Ukiangalia magoli yote mawili ya jana yaliyofungwa na Fiston kaamka mayele utagundua kuwa kuna kauzembe cha makusudi kilichofanywa na hilo duka la GSM pale golini. Goli kipa wa kimataifa huwezi akafungwa goli za kinamna ile, yaani kipa anashindwa kunyoosha mikono yake kudaka kashuti kadhaifu kama kile tena kashuti cha chinichini kama kile....!!

Haya maduka huwa yanapokea tu maelekezo kutoka kwa waajiri wao wa zamani ili tu yafungishe na mwisho wa siku yanaenda kuchukua (yanaingiziwa) donge nono.

Ni kipindi sasa simba itafute golikipa wa kiwango cha juu kutoka nje ya tanzania maana hawa wazawa wanaendekeza sana matumbo yao kuliko maslahi ya timu.

Wasalam
Acha bhange mkuu, hakuna goli la kipa hata moja, magoli aliyofungwa de gea nae ni duka la mmiliki wa Brentford?
 
Back
Top Bottom