rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Beki wamezembea lakini mipira. Iliyompita kipa inaonyesha hakuwa na focusYale magoli siyo uzembe wa kipa ,ni uzembe wa mabeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beki wamezembea lakini mipira. Iliyompita kipa inaonyesha hakuwa na focusYale magoli siyo uzembe wa kipa ,ni uzembe wa mabeki
Mara Inonga! Mara kocha Matola, mara kocha mzungu baada ya kumtoa Chama! Na sasa ni Kakolanya!!Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi
Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa kuwamini hata kidogo!
Ukiangalia magoli yote mawili ya jana yaliyofungwa na Fiston kaamka mayele utagundua kuwa kuna kauzembe cha makusudi kilichofanywa na hilo duka la GSM pale golini. Goli kipa wa kimataifa huwezi akafungwa goli za kinamna ile, yaani kipa anashindwa kunyoosha mikono yake kudaka kashuti kadhaifu kama kile tena kashuti cha chinichini kama kile....!!
Haya maduka huwa yanapokea tu maelekezo kutoka kwa waajiri wao wa zamani ili tu yafungishe na mwisho wa siku yanaenda kuchukua (yanaingiziwa) donge nono.
Ni kipindi sasa simba itafute golikipa wa kiwango cha juu kutoka nje ya tanzania maana hawa wazawa wanaendekeza sana matumbo yao kuliko maslahi ya timu.
Wasalam
kweli kabisa,magoli yote ni uzembe wa mabeki Enonga na OtaraYale magoli siyo uzembe wa kipa ,ni uzembe wa mabeki
Yale magoli ni kutokana na ufundi wa mfungaji.Hayo ni magoli ya beki na kocha, kipa hana baya
goli la kwanza Mayele kapenyezewa pasi halafu akapiga kwenye angle la pembeni hata ingekuwa Mendy kufuata ni ngumu ,ya pili kapiga kwenye mwanya wa mabeki kalenga angle vile vile ya chini,magoli yote ya Mayele huwa halengi kipa ni pembeni ,pale lawama ni uzembe wa mabekikweli kabisa,magoli yote ni uzembe wa mabeki Enonga na Otara