Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

Acha bhange mkuu, hakuna goli la kipa hata moja, magoli aliyofungwa de gea nae ni duka la mmiliki wa Brentford?
Unaiongelea ligi ambayo ilishapiga hatua kubwa ktk kuzuia match fixing!!? Upo timamu kichwani? Epl vs NBC PL??
 
MAKOLOOOO ULIBWANJII!TULIWAAMBIA KUWAITA ST. GEORGE VIBONDE ILI MJIPIGIE MJIONE MNA TIMU ITAWACOST!MMEONA SASA
 
Wanatafuta wa kumbebesha lawama.
 
Sawa ni maoni yako
 
Unateseka ukiwa kipande kipi cha nchi yetu pendwa?
 
Beno hana kosa ila ajue kipa Bora hawezi kufungwa mashuti ya vile. Huwezi kuwa kipa Bora kama hufanyi saves kutokana na makosa ya mabeki maana hakuna timu ambayo mabeki hawafanyi makosa.
 
Rudia highlights za hayo magoli utagundua ninayoyaongea. Ila huwezi kunielewa ikiwa hujui basics za goalkeeping
Ndio maana sio goalie number 1
Tumia akili yako vizuri, niwie radhi kwa maneno makali niliyotumia.
 
Bange hizi. Kama huwezi kuvumilia acha ushabiki. Mijitu kama wewe ndio inayorudisha soka nyuma. Makosa yamefanyika kuanzia kwa mabeki wa kati, timu ikafungwa. Sasa wewe unatuletea ramli chonganishi.
 
Nenda kaangalie magoli aliyofungwa De gea jana...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ukiyaona utafuta huu uzi mapema
Utetezi wa hovyo Sana. Kwa hiyo mashabiki wote wa man u hakuna aliekosoa hiyo performance ya De gea huku mitandaoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…