Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

Mara Inonga! Mara kocha Matola, mara kocha mzungu baada ya kumtoa Chama! Na sasa ni Kakolanya!!

Hii ni moja ya dalili ya kuvurugwa bila shaka!!!
 
Sasa si Bora tumsajili mandonga kama kila ikipigwa Shuti imo kisa mabeki wamefanya makosa.
 
kweli kabisa,magoli yote ni uzembe wa mabeki Enonga na Otara
goli la kwanza Mayele kapenyezewa pasi halafu akapiga kwenye angle la pembeni hata ingekuwa Mendy kufuata ni ngumu ,ya pili kapiga kwenye mwanya wa mabeki kalenga angle vile vile ya chini,magoli yote ya Mayele huwa halengi kipa ni pembeni ,pale lawama ni uzembe wa mabeki
 
Jeneza fc a.k.a KARIA FC 😂

TUTAWANYOOSHAAAAA NA MSOMARI WENU
 
Uzuri magoli ya namna ile Mayele amemfunga hata Kipa wenu namba 1.
Nakukumbusha tu goal la 2 Mayele alimgeuza inonga mbele na nyuma akampiga tobo mpira ukajaa nyavuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…