Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Golikipa kutoka nchini Ghana Danniel Agrey ametua nchini leo kwa ajili kusaini mkataba wa miaka mawili wa kuichezea Simba SC
Agrey aliyekuwa anachezea Klabu ya Madeama nchini Ghana, amewasili kwa kutumia shirika la KQ na kupokelewa na Mratibu wa timu ya Simba, Abbas Ally