Goma: Jeshi la Mamluki kutoka Romania wajisalimisha Rwanda

Goma: Jeshi la Mamluki kutoka Romania wajisalimisha Rwanda

Si hao waasi wa M23? au umesahau JWTZ ilipowapa kichapo miaka ile walikinbilia wapi?
Beother, sitoingia sana kwenye siasa maana sizielewi na hazinihusu, naongelea nayoyaona. JWTZ walienda vitani kama wengine. Goma ni mjini kati, kama unavyoijua Dar. Ukiandaa mashambulizi ya kijeshi, lazima utaua na raia. Hilo ulilisikia!? Mi nachoweza kukukubalia, hesabu zilipigwa. M23 iliombwa kuachia mji kwa amani, ikatii. Sasa baada ya miaka 10, unajua walikuwa wapi!? Nyuma ya pazia kilipikwa kitu gani!? Hivi, uje uulizie kombola moja la kudungua mengine lina bei gani! Rwanda juzi kutwa nzima walirumia mangapi!? Hiyo pesa ya kuyanunua ilitoka wapi!? Alinunua mitambo hiyo akimlenga nani!? Hivi vitu ni vya kuachia wenyewe, ila ukweli kuna mataifa makubwa nyuma ya huu mzozo.
 
Ndo sasa uniambie! Wao wataleta majeshi yao kulinda machimbo!? Jibu ni hapana. Wanachokifanya ni kumtafuta nani anaweza kusimamia masrahi yetu! Haya yupo huyu. Anahitaji nini na nini!? Chochote atapewa. Jaribu kuingilia sasa uone litakalokukuta!!! Hadhalani watajifanya wanakemea, nyuma ya pazia wanawekana sawa. Kwenye hivi vita, Rwanda imepoteza raia 9. Kwa mabomu yaliyorushwa kutoka DRC. Na inasemekana yamerushwa na FDLR. Hiyo ni tiketi ya kuingilia tayari. Lakini, silaha za kudungua makombola, zimefanya kazi ajabu. Je, kama hakukuwa na maandalizi, zilinunuliwa kufanya nini!? Hizo ni zilizowekwa wazi. Ambazo hazipo!?
Na ndio maana huu umalaya wa Kagame ni wa kukemewa kwa nguvu zote, na ikibidi hicho kitongoji kifutwe kwenyebuso wa dunia, uwezo huo upo..
 
Sawa, wana backing toka kwa mataifa makubwa, na ndio maana inabidi wote tulaani uporaji huu wa bila aibu na wa kimalaya kabisa!
Ni kama nyumba inavyovamiwa na panya road.., ndio kinawapata DRC
Wazo zuri, lakini utekelezaji haiwezekani. Leo hii Trump kabana matumizi, angalia mitandaoni watu wanavyohaha kwamba ARV itakuwaje!!! Raisi anaewategemea atapigania masrahi ya nani!? Ya jirani au ya kwake binafsi!?
 
Beother, sitoingia sana kwenye siasa maana sizielewi na hazinihusu, naongelea nayoyaona. JWTZ walienda vitani kama wengine. Goma ni mjini kati, kama unavyoijua Dar. Ukiandaa mashambulizi ya kijeshi, lazima utaua na raia. Hilo ulilisikia!? Mi nachoweza kukukubalia, hesabu zilipigwa. M23 iliombwa kuachia mji kwa amani, ikatii. Sasa baada ya miaka 10, unajua walikuwa wapi!? Nyuma ya pazia kilipikwa kitu gani!? Hivi, uje uulizie kombola moja la kudungua mengine lina bei gani! Rwanda juzi kutwa nzima walirumia mangapi!? Hiyo pesa ya kuyanunua ilitoka wapi!? Alinunua mitambo hiyo akimlenga nani!? Hivi vitu ni vya kuachia wenyewe, ila ukweli kuna mataifa makubwa nyuma ya huu mzozo.
Ndio narudia kusema, huu umalaya kwa Kagame ukomeshwe kwa mbinu za kiintelijensia.., kwani atajifungia ndani kama broiler siku zote? Siku akitoka nje ya hiyo nchi yake, ndio iwe mwisho wa huo umalaya wake kwa wazungu..
 
Na ndio maana huu umalaya wa Kagame ni wa kukemewa kwa nguvu zote, na ikibidi hicho kitongoji kifutwe kwenyebuso wa dunia, uwezo huo upo..
Jaribu tuone. Kwenye kile kikao walisema hivi, inawlekea vita vya Congo, vikawa chanzo cha vita vya ukanda. Tanzania itaichapa Rwanda, Kenya na Uganda wakae Kimya!? Je Mganda ataua mtz pakalike?! Je mwenye masrahi yake utamvurugia akae kimya!? TZ ina support, Rwanda ina support, vurugu mechi. Hamjui vita ndo maana kuandika mnaona raha, madhara yake waulize wanaoviona. Na nyie kama mna kamkono,nendeni mkaibe. Ila swala la kukomesha wizi, sahau. Swali hapo ni kwamba, wakazi wa eneo hilo waende wapi!?
 
Jaribu tuone. Kwenye kile kikao walisema hivi, inawlekea vita vya Congo, vikawa chanzo cha vita vya ukanda. Tanzania itaichapa Rwanda, Kenya na Uganda wakae Kimya!? Je Mganda ataua mtz pakalike?! Je mwenye masrahi yake utamvurugia akae kimya!? TZ ina support, Rwanda ina support, vurugu mechi. Hamjui vita ndo maana kuandika mnaona raha, madhara yake waulize wanaoviona. Na nyie kama mna kamkono,nendeni mkaibe. Ila swala la kukomesha wizi, sahau. Swali hapo ni kwamba, wakazi wa eneo hilo waende wapi!?
Jirani asiye na amani ni hasara kwetu, na kama anayetutia hiyo hasara yupo na tunamuona, atashughulikiwa tu, hatojifungia ndani kama kuku, huyo malaya atatoka tu kwenda kuuza…, na ataminywa hataoamini
 
Watoa Rushwa ndio hao.

Hao ni kama korokoroni wa kwetu huku wanaolinda mashamba. Ambao hawalipwi faranga stahiki.

Utofauti wao ni hayo mamluki walikuwa wakilinda mashimo ya muminerali na hela ndefu kweli.

Hao misharhara si chini ya dola $100,000 na hela yote inaishia huko huko ramania.

Jamani rushwa ni mbaya sana.
 
Back
Top Bottom