Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
 
Punguza stress
Ukiona huwezi kufa tutakuzika tu

Mpira uliopigwa pale upo makini sanaa
Matokeo yasikufanye utuletee utoto wako
utateteaa sana nikumbushe lini mara ya mwisho mshambuliaji namba moja wa simba alikuw mbovu kama mugalu hata kaniki alikuwa 10 .anafunga kuliko hili jinga akisaidiana na gabriel
 
Huyu nilimuona hafai tangu mwaka jana na sijui ni kwa nini yupo pale Simba. Ametukosesha ushindi katika mechi nyingi sana.

Na mbaya zaidi aliyekuwa anamlisha pasi za wazi za mwisho (CCC) hayupo tena. Kweli hili chezaji feki ni kizungumkuti cha muda mrefu sasa. Lisepe tu na hatuto li-miss.
 
Gadiel Michael acheze kushoto wapi?
Wewe nawe unapogoma tu.

Nakubaliana na wewe kuhusu Mugalu kwani amekuwa akikosa magoli ya wazi mara nyingi sana, sijafuatilia sababu ni nini. Wakati mwingine unaweza kumlaumu mtu kumbe ni zile juhudi zake za kuweza kujiposition mara nyingi ndio maana hutokea kuwa kwenye mipira mingi ya hatatri lakini liyomjia vibaya, mfano ni lile shuti amepaisha juu.

Lakini ukisema nichague striker kwasasa Simba naanza na mk14, atakuja Boko,, Kibu Denis (huyu Kibu nahisi baada ya mechi kadhaa ataingia kwenye first 11) ,,Mugalu atacheza mapinduzi cup.
 
Acha bange naona unanena kwalugha huyu mugalu ukumbuke msimu uloisha ndio amefinga goli 15 ndan yamechi chache sana, tabu iko palepale
Kafunga goli na Gwambina fc.
Na la penati kwa AS Vita.
Kweli Mugalu ni mfungaji mzuri sana tumpe muda.
Leo amewakaba sana mabeki wa Yanga.
Tumpe muda
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
Una leseni ipi ya caf au euro?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
utateteaa sana nikumbushe lini mara ya mwisho mshambuliaji namba moja wa simba alikuw ambovu kama mugalu hata kaniki alikuwa 10 .anafunga kuliko hili jinga akisaidiana na gabriel
Mugalu aliikuta ligi imeanza na akawa mfungaji namba 2
 
Hii inaitwa ngumu kumeza lakini ndo ukweli ...usajiri wa sakho..kanoute na Banda ni wa hovyo kwa sababu umetoa keys players unasajiri wachezaji wasio na nguvu....wote tumeona siku ile mechi ya tp mazembe...mchezaji inabidi awe na nguvu na umbo la kimichezo ukikadiria hata body weight zao utakuta ni kilo 45 mpaka 50...unadhani uyo mchezaji anaweza kupambana na aucho au mayele wa yanga.. lazima tukubali mpira inahitaji umbo na nguvu mchezaji Kama sakho na Banda ni wachezaji wazuri lakini hawana nguvu...nguvu inampa mchezaji advantage mbili..Kama kuficha mpira na kwenye kukaba ...huo ndio ukweli ndio maana Kama mmegundua kanoute anaanguka Mara kwa Mara...kipindi Maximo anakuja tz alikuta kaseja anaimbwa nchi nzima kua ni tz one...alipochagua kikosi chake Ivo mapunda akamchagua kuwa ni namba moja ...akajenga hoja kwamba standard football..inataka wachezaji wenye vimo na maumbo ya kuridhisha huo ndio ukweli...kwa sakho..kanoute na Banda tumepigwa mchana kweupe..hawawezi kucheza phisical games..angalia timu kubwa Africa Kama mazembe ..widad Casablanca Zina wachezaji wenye nguvu.. hii ni analytical assessment coz mi pia nimesomea ukocha ...
 
Mshauza timu alafu muwe aggressive? Hahaha....mo saivi anafanya anachotaka anaweza hata chukua mtu kiwandani kule akamleta awe namba 9 wenu na hamna la kumfanya
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ety kiwandani
 
Ujue Gomez anatakiwa kujua kua Mugalu ni centre forward mzuri sana ila sio striker.ni sawa na Bocco tu ,kuna mechi unatakiwa kua na striker uwanjani mi naamini kwenye nafasi zile tungekua na striker Ile mechi ingalikua na matokeo tofauti Sana.
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
Mh
 
Ninachoweza kusema Mimi,kwanza bado Ni mapema kuona kwamba hatuna kikosi Cha ushindani.Ila Kama kocha ataendelea kumwamini Mugalu Naweza kusema kwamba tutapata wakati mgumu.

Mugalu si mfungaji kabisa.Ila makosa yake alikua anafichiwa na Chama na Luis ambao yeye akipambana na mabeki na kuhold mpira ,wale wanakuja wanafunga.Na wale pia walikua wanamtengenezea nafasi ambazo Ni rahisi mno kufunga.Ni wakati sahihi Sasa wa kocha kumwamini Kagere kwenye safu ya ushambuliaji.
 
Back
Top Bottom