Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

Siamini Kama Wachezaji waliosajiliwa wapya Ni mbadala wa wale wa2 waliouzwa kwenye kutengeneza na kufunga magoli kuziba madhaifu sugu ya Mugalu.

Ni Wachezaji wazuri wanaonekana.Ila kucheza na striker but Kama Mugalu itatuwia vigumu mno
 
Huyu nilimuona hafai tangu mwaka jana na sijui ni kwa nini yupo pale Simba. Ametukosesha ushindi katika mechi nyingi sana. Na mbaya zaidi aliyekuwa anamlisha pasi za wazi za mwisho (CCC) hayupo tena. Kweli hili chezaji feki ni kizungumkuti cha muda mrefu sasa. Lisepe tu na hatuto li-miss.
Wakati ule tunasema Mugalu ni average player wa kuwafunga wakina Mwadui na sio key player wa match kubwa na kuamua matokeo ya timu mlikuwa mnatuambia sisi hatujui wachezaji wazuri,na ikatokea Mugalu akafunga magoli kwa hizi timu ndogo mkawa mnakuja hapa kumpamba na kusema hakuna mwingine kama yeye but leo hii ndio mnamuona galasa,acheni unafiki enyi mambumbumbu fc.
 
Mshauza timu alafu muwe aggressive? Hahaha....mo saivi anafanya anachotaka anaweza hata chukua mtu kiwandani kule akamleta awe namba 9 wenu na hamna la kumfanya
Nina wasiwasi dirisha dogo akawaletea Muhindi mmoja kutoka Kiwandani kwake na kusema huyu ni mshambuliaji hatari kutoka Brazil.
 
Mashabiki wa Simba punguzeni munkari...kwenye msimu wa mashindano timu itaimarika.
 
Hii inaitwa ngumu kumeza lakini ndo ukweli ...usajiri wa sakho..kanoute na Banda ni wa hovyo kwa sababu umetoa keys players unasajiri wachezaji wasio na nguvu....wote tumeona siku ile mechi ya tp mazembe...mchezaji inabidi awe na nguvu na umbo la kimichezo ukikadiria hata body weight zao utakuta ni kilo 45 mpaka 50...unadhani uyo mchezaji anaweza kupambana na aucho au mayele wa yanga.. lazima tukubali mpira inahitaji umbo na nguvu mchezaji Kama sakho na Banda ni wachezaji wazuri lakini hawana nguvu...nguvu inampa mchezaji advantage mbili..Kama kuficha mpira na kwenye kukaba ...huo ndio ukweli ndio maana Kama mmegundua kanoute anaanguka Mara kwa Mara...kipindi Maximo anakuja tz alikuta kaseja anaimbwa nchi nzima kua ni tz one...alipochagua kikosi chake Ivo mapunda akamchagua kuwa ni namba moja ...akajenga hoja kwamba standard football..inataka wachezaji wenye vimo na maumbo ya kuridhisha huo ndio ukweli...kwa sakho..kanoute na Banda tumepigwa mchana kweupe..hawawezi kucheza phisical games..angalia timu kubwa Africa Kama mazembe ..widad Casablanca Zina wachezaji wenye nguvu.. hii ni analytical assessment coz mi pia nimesomea ukocha ...

maono yako na ya kwangu yapo sawasawa kabisa,yaan wale nilivyowatizama maumbo yao kwakwel nilijisemea "moyon"hapa ngoja tuone
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
Uzi was KIPUUZI unadhani Simba iko kwa ajili ya kuifunga Yanga au kubeba makombe ya KUKU
 
Uzi was KIPUUZI unadhani Simba iko kwa ajili ya kuifunga Yanga au kubeba makombe ya KUKU
we mjinga concern yetu kubwa ni champions league na kocha kuchanganyikiwa sababu ya mapengo mawili na kukazania kumtumia mjinga mugalu usijifanye kama huoni concerns zetu
Na yes kuwafunga yanga ni muhimu sana unaweza kunijibu ni kwa nini jana Dilunga alitoka na kusababisha Djuma shabni kuwa free akaanza kumsumbua zimbwe naye akatolewa tena?
Unaweza kunijibu ni kwa nini Farid alimsumbua sana kapombe hadi shomari kibwana naye akawa free? naturally kibwana siyo namba 3 utopolo kwa sasa wana shida left back ilitakiwa dilunga au mhilu aende kule kumkimbiza , 11 acheze Kibu USITETEEE UJINGA KOCHA KACHANGANYIKIWA HAJUI HATA ANAFANYA NINI
Tuko concerned na mengi sana
 
Tatizo sio hao, tatizo ni Chama.

Kumbukeni Chama alipopatwa na matatizo Ismba iliyumba sana kwa kitoa droo na pia kufungwa, nadhani hakuna mwchi walizoshinda mpaka aliporudi ndio Simba ikaanza kushinda.
 
we mjinga concern yetu kubwa ni champions league na kocha kuchanganyikiwa sababu ya mapengo mawili na kukazania kumtumia mjinga mugalu usijifanye kama huoni concerns zetu
Na yes kuwafunga yanga ni muhimu sana unaweza kunijibu ni kwa nini jana Dilunga alitoka na kusababisha Djuma shabni kuwa free akaanza kumsumbua zimbwe naye akatolewa tena?
Unaweza kunijibu ni kwa nini Farid alimsumbua sana kapombe hadi shomari kibwana naye akawa free? naturally kibwana siyo namba 3 utopolo kwa sasa wana shida left back ilitakiwa dilunga au mhilu aende kule kumkimbiza , 11 acheze Kibu USITETEEE UJINGA KOCHA KACHANGANYIKIWA HAJUI HATA ANAFANYA NINI
Tuko concerned na mengi sana
Ila kweli mkuu siioni simba ya kina sakho na Mugalu ikifika mbali
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
Mugalu sio wa kumchezesha derby ni mpuuz anachez kW pressure tu
 
A
Tatizo sio hao, tatizo ni Chama.

Kumbukeni Chama alipopatwa na matatizo Ismba iliyumba sana kwa kitoa droo na pia kufungwa, nadhani hakuna mwchi walizoshinda mpaka aliporudi ndio Simba ikaanza kushinda.

Tatizo sio hao, tatizo ni Chama.

Kumbukeni Chama alipopatwa na matatizo Ismba iliyumba sana kwa kitoa droo na pia kufungwa, nadhani hakuna mwchi walizoshinda mpaka aliporudi ndio Simba ikaanza kushinda.
Hapana huna kumbukumbu, Chama alipofiwa Simba tulishinda mechi zote tatu ambazo hakuwepo. Mechi hizo zilikuwa na dhidi ya Namungo ugenini,Polisi Tanzania(CCM Kirumba) na JKT Ruvu (CCM Kirumba).
 
we mjinga concern yetu kubwa ni champions league na kocha kuchanganyikiwa sababu ya mapengo mawili na kukazania kumtumia mjinga mugalu usijifanye kama huoni concerns zetu
Na yes kuwafunga yanga ni muhimu sana unaweza kunijibu ni kwa nini jana Dilunga alitoka na kusababisha Djuma shabni kuwa free akaanza kumsumbua zimbwe naye akatolewa tena?
Unaweza kunijibu ni kwa nini Farid alimsumbua sana kapombe hadi shomari kibwana naye akawa free? naturally kibwana siyo namba 3 utopolo kwa sasa wana shida left back ilitakiwa dilunga au mhilu aende kule kumkimbiza , 11 acheze Kibu USITETEEE UJINGA KOCHA KACHANGANYIKIWA HAJUI HATA ANAFANYA NINI
Tuko concerned na mengi sana
Uko sahihi, kocha ni Kama ameishiwa mbinu kabisa.
 
Kwaiyo unataka Simba iwe inashinda kila mechi.
Simba ya mwaka huu inakikosi bora kuliko mwaka jana,mashabiki wa Simba wenye kujua soka tunamatumaini makubwa sana msimu huu,kufungwa ni sehemu tu ya mchezo.
 
Watu mnaona Mugalu anakosa sana magoli.Lakini hamjajua tofauti Kati ya Kagere na Mugalu.

Mugalu anakosa magoli lakini at least anajua jinsi ya kujiposition ndio maana anapata nafasi nyingi. Kagere akipata clear chance huwa anafunga sawa, lakini kwake huwa ni ngumu kupata clear chance kwa sababu hajui kujiposition.

Nawahakikishia zile clear chance alizokosa Mugalu jana, angekuwa Kagere asingepata hata hizo chance.

Binafsi naona bora hata anayepata chance nyingi za kufunga, kuliko anayekimbia kimbia hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa kichwa na anastruggle sana kupata chance
 
Back
Top Bottom