Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

Gomez Da Rosa and Chris Mugalu out, imetosha

Watu mnaona Mugalu anakosa sana magoli.Lakini hamjajua tofauti Kati ya Kagere na Mugalu.

Mugalu anakosa magoli lakini at least anajua jinsi ya kujiposition ndio maana anapata nafasi nyingi. Kagere akipata clear chance huwa anafunga sawa, lakini kwake huwa ni ngumu kupata clear chance kwa sababu hajui kujiposition.

Nawahakikishia zile clear chance alizokosa Mugalu jana, angekuwa Kagere asingepata hata hizo chance.

Binafsi naona bora hata anayepata chance nyingi za kufunga, kuliko anayekimbia kimbia hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa kichwa na anastruggle sana kupata chance
Umeshahama kwenye point mkuu.
Shida sio kujiposition,shida ni chance zikipatikana zitumiwe vema.

Kagere hapati nafasi ila kama akipata anafunga ni bora huyo kuliko anaepata nafasi tano na zote hafungi,MK 14 inawezakana akapata hata nafasi moja tu ndani ya dk 90 na akafunga.
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU WASEPE
Punguza hasira kiongozi, wewe huzijui hizi derby? Kuwa mwanamichezo ndugu
 
Kati ya Mugalu, Kagere na Bocco hakuna wa maana kwasasa....

Hivi kocha hawezi kubadilisha mfumo.!? Kama kakariri 4-2-3-1.. Akiona katanguliwa goli anaingiza washambuliaji hata 3.. Kipindi Chama yupo kidogo 4-2-3-1 ilikuwa ina mashiko...

Kwanini asijaribu 3-5-2, 3-4-3 ukizingatia Kapombe na Zimbwe Jr ni wazuri kwenye kushambulia...
Kwa aina ya defence ya akina wawa na onyango mabeki watatu mtakula nyingi na hamtaweza kuzichomoa wa aina ya striker mlionao akina mushimba. Heheh raha sio rahaaa?
 
Hii inaitwa ngumu kumeza lakini ndo ukweli ...usajiri wa sakho..kanoute na Banda ni wa hovyo kwa sababu umetoa keys players unasajiri wachezaji wasio na nguvu....wote tumeona siku ile mechi ya tp mazembe...mchezaji inabidi awe na nguvu na umbo la kimichezo ukikadiria hata body weight zao utakuta ni kilo 45 mpaka 50...unadhani uyo mchezaji anaweza kupambana na aucho au mayele wa yanga.. lazima tukubali mpira inahitaji umbo na nguvu mchezaji Kama sakho na Banda ni wachezaji wazuri lakini hawana nguvu...nguvu inampa mchezaji advantage mbili..Kama kuficha mpira na kwenye kukaba ...huo ndio ukweli ndio maana Kama mmegundua kanoute anaanguka Mara kwa Mara...kipindi Maximo anakuja tz alikuta kaseja anaimbwa nchi nzima kua ni tz one...alipochagua kikosi chake Ivo mapunda akamchagua kuwa ni namba moja ...akajenga hoja kwamba standard football..inataka wachezaji wenye vimo na maumbo ya kuridhisha huo ndio ukweli...kwa sakho..kanoute na Banda tumepigwa mchana kweupe..hawawezi kucheza phisical games..angalia timu kubwa Africa Kama mazembe ..widad Casablanca Zina wachezaji wenye nguvu.. hii ni analytical assessment coz mi pia nimesomea ukocha ...
Umesomea ukocha wa majungu[emoji3][emoji3]
 
Kwanza ni lazima nikiri wazi kuna hakuna timu ambayo isiyofungwa duniani. Lakini povu ninaliona kwa wanasimba wengi ni kwa kuwa Simba imefungwa halafu imecheza hovyo sana huku wachezaji wao wakionekana kabisa hawana morali (hawakuwa aggresive kabisa) na mbaya zaidi ni kuona lile pira biriani linapigwa na wapinzani wao Simba wakibaki na butua butua. Kwa kweli kile ni kipigo kibaya sana kwa Simba dhidi ya Yanga na hakitosaulika siku za karibuni kwani Yanga wangetulia kidogo tu nilikuwa naziona goli tatu. Kilichotokea jana kwa Simba kwao ni "surprise" lakini lazima wajiandae kwani mwaka huu timu zote za ligi zimesajili vizuri sana na zitakuwa na pesa za kutosha kutokana na udhamini wa Azam. Nawapa saluti sana Yanga kwa pira lile waliopiga jana kwani sio la nchi hii. Simba walipoteana kabisa walipaniki sana kwani ni mara chache sana kuwaona Kapombe na Zimbwe wakifokeana na waamuzi kwa kiasi kile.

Pamoja na Simba kuzidiwa lakini mimi nitalilaumu benchi la ufundi na uongozi wa Simba kwa makosa mengi yanayojirudia kila wakati.
1. Kwenye usajili niliwataahdarisha sana hapa viongozi wa Simba kama wanahitaji "kudominate" mpira wa bongo na hata kuendela kufanya vizuri kwenye CL wasajili vizuri na nilienda mbali kuwataka wasajili mshambuliaji mmoja mahiri aliyekamilika kila kitu na hasa mwenye matumizi mazuri ya kichwa kwani Simba ina utajiri wa mawinga na mabeki wa pembeni ambao kwa pamoja wanapiga sana krosi muda wote wa mchezo. Na ilitakiwa waachane na mshambuliaji mmoja kati ya Kagere na Mugalu. Cha kushangaza wakati wanataka kuachana na Kagere na Kagere mwenyewe akiwa ameshaanza kuaga ghafula Simba wakajambishwa na Yanga kuwa wanamsajili na kwa kuogopa yaliyotokea kwa Tambwe ndipo Simba wakapiga "u turn". Hili lilikuwa kosa moja kubwa sana kwa uongozi wa Simba.
2. Pia kitendo cha uongozi kushindwa kumsajili Manyama lilikuwa ni kosa lingine baya sana. Kwa mechi ya jana kuna wakati Zimbwe alikuwa na hasira sana kiasi alitoka mchezoni akaanza kugombana na waamuzi nikajiuliza sasa Simba wakimtoa je wakimuingiza Gadiel si itakuwa majanga makubwa.
3. Watu wengi wanamlaumu sana Mugalu. Ni kweli Mugalu alikosa sana magoli ya wazi . Na hili ni tatizo kubwa sana kwake huwa anakosa utulivu hasa kwenye "big matches". Huyu mwamba Simba wamtafutie mtaalamu wa saikolojia kwani ameshadhihirisha uwanjani ana kila kitu kuanzia nguvu, mashuti, jicho la goli, positioning, ball control ya hali ya juu na umaliziaji mzuri lakini maajabu inapokuja mechi kubwa atafanya vyote kwa usahihi wa hali ya juu lakini atashindwa kutumbukiza mpira kimiani tu.
4. Baada ya kuondoka Chama benchi la ufundi limejaribu sana kuijenga timu kucheza kwa kumtumia Bwalya lakini inaonekana mzigo huo ni mzito sana kwa Bwalya. Namna Bwalya anavyocheza kwa kweli huwa anaondoka sana eneo lake na hii iliwatesa sana Simba japo hata benchi la ufundi halikugundua mateso yanatoka wapi. Haiwezekani namba 10 ambaye anategemewa kutoa pasi za mwisho au kufungwa halafu muda mwingi wa mchezo yupo chini kabisa anapiga "square pass". Ilimpasa Bwalya mara nyingi awe si zaidi ya mita tano kati yake na Mugalu pale Simba wanaposhambulia na wakati wanashambuliwa arudi si zaidi sana ya katikati ya uwanja ili kuchukua mpira na kusamabaza kwa Mugalu au mawinga wake. Lakini maajabu Mugalu anaruka na mabeki wawili wa Yanga "second ball" inaanguka mwamba ambaye jana kaupiga mwingi sana Bangala anajiokotea taratibu bila upizani wowote anaupeleka mpira popote anapotaka. Na kingine Bwalya ni mzuri sana kwenye mechi ambazo hazina matumizi sana ya nguvu kwani hawezi kabisa kugongana na viungo wa timu pinzani. Simba hawakuwa tishio kwa mabeki ya Yanga muda wote wa mchezo kwa sababu Bangala alikuwa huru muda wote wa mchezo. Kwa hili la Bwalya najua wengi watanipinga sana kwa sababu wabongo wanapenda kuona chenga hata kama hazina faida yoyote lakini ndio ukweli wenyewe japo mchungu sana.
5. Nilitegemea jana kwa kuwa mechi ilikuwa ya kugongana na matumizi ya nguvu sana basi benchi la ufundi lingeanza na Kibu kwenye winga moja na nafasi ya namba 10 acheze Sakho. Kwanini Sakho? Wepesi wake, spidi yake na pasi zake za upendo za mwisho na pia ameshaonesha ana uwezo wa kufunga.
6. Benchi la ufundi lilikuwa pia na uchaguzi wa kuanza Lwanga na Abdulswamad (kiungo aliyetoka Kagera) kama wakabaji halafu Kanoute akasogea juu. Kwa nini Abdulswamad ni kwa kuwa anakaba kwa nguvu sana, ni mtulivu na ni mzuri kwa mipira ya juu.
7. Benchi la ufundi la Simba likatae likubali kuwa Kibu ni muhimu sana kutokana na "work rate" yake. Na ndio atakuwa mchezaji muhimi sana kwao kwa sasa mpaka waje wampate mtu mwenye uwezo kama Konde Boy huko mbele ya safari. Jinsi alivyocheza mechi ya TP Mazembe ni kama vilemchezaji mzoefu wa mechi za kimataifa. Kwa nini jana hakutumika hiyo tuwaachie benchi la ufundi la Simba.
8. Pia benchi la ufundi la Simba likatae likubali Sakho ndio atawasaidia kuwatengenezea magoli kwa sasa mpaka hapo baadaye watakapokuja kumpata Chama mwingine huko miaka ijayo.

Mwisho lazima nilipongeze sana benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na Nabi kwani kwa mbinu walizotumia jana walilichanganya kabisa benchi la ufundi la Simba lisijue nini cha kufanya kiasi likianza kufanya "sub" za ovyo kabisa. Sijui wale waliotaka kumfukuza Nabi wataficha wapi sura zao. Na iwapo Yanga wasingeenda kuzurura Moroco basi kwenye CL wangetoboa na wangefika mbali sana mwaka huu. Kila nilipokuwa nikitazama mpira jana ilikuwa vigumu sana kuamini kuwa Simba ndio waliopata "pre season" nzuri kuliko Yanga.
 
Umesomea ukocha wa majungu[emoji3][emoji3]
Inabidi uelewe kwanza..usidandie gari kwa mbele...nilishasema hii inaitwa ngumu kumeza maana yake ni ukweli ambao ni mgumu kuuelewa kwa kilaza Kama ww..
 
U
Kwanza ni lazima nikiri wazi kuna hakuna timu ambayo isiyofungwa duniani. Lakini povu ninaliona kwa wanasimba wengi ni kwa kuwa Simba imefungwa halafu imecheza hovyo sana huku wachezaji wao wakionekana kabisa hawana morali (hawakuwa aggresive kabisa) na mbaya zaidi ni kuona lile pira biriani linapigwa na wapinzani wao Simba wakibaki na butua butua. Kwa kweli kile ni kipigo kibaya sana kwa Simba dhidi ya Yanga na hakitosaulika siku za karibuni kwani Yanga wangetulia kidogo tu nilikuwa naziona goli tatu. Kilichotokea jana kwa Simba kwao ni "surprise" lakini lazima wajiandae kwani mwaka huu timu zote za ligi zimesajili vizuri sana na zitakuwa na pesa za kutosha kutokana na udhamini wa Azam. Nawapa saluti sana Yanga kwa pira lile waliopiga jana kwani sio la nchi hii. Simba walipoteana kabisa walipaniki sana kwani ni mara chache sana kuwaona Kapombe na Zimbwe wakifokeana na waamuzi kwa kiasi kile.

Pamoja na Simba kuzidiwa lakini mimi nitalilaumu benchi la ufundi na uongozi wa Simba kwa makosa mengi yanayojirudia kila wakati.
1. Kwenye usajili niliwataahdarisha sana hapa viongozi wa Simba kama wanahitaji "kudominate" mpira wa bongo na hata kuendela kufanya vizuri kwenye CL wasajili vizuri na nilienda mbali kuwataka wasajili mshambuliaji mmoja mahiri aliyekamilika kila kitu na hasa mwenye matumizi mazuri ya kichwa kwani Simba ina utajiri wa mawinga na mabeki wa pembeni ambao kwa pamoja wanapiga sana krosi muda wote wa mchezo. Na ilitakiwa waachane na mshambuliaji mmoja kati ya Kagere na Mugalu. Cha kushangaza wakati wanataka kuachana na Kagere na Kagere mwenyewe akiwa ameshaanza kuaga ghafula Simba wakajambishwa na Yanga kuwa wanamsajili na kwa kuogopa yaliyotokea kwa Tambwe ndipo Simba wakapiga "u turn". Hili lilikuwa kosa moja kubwa sana kwa uongozi wa Simba.
2. Pia kitendo cha uongozi kushindwa kumsajili Manyama lilikuwa ni kosa lingine baya sana. Kwa mechi ya jana kuna wakati Zimbwe alikuwa na hasira sana kiasi alitoka mchezoni akaanza kugombana na waamuzi nikajiuliza sasa Simba wakimtoa je wakimuingiza Gadiel si itakuwa majanga makubwa.
3. Watu wengi wanamlaumu sana Mugalu. Ni kweli Mugalu alikosa sana magoli ya wazi . Na hili ni tatizo kubwa sana kwake huwa anakosa utulivu hasa kwenye "big matches". Huyu mwamba Simba wamtafutie mtaalamu wa saikolojia kwani ameshadhihirisha uwanjani ana kila kitu kuanzia nguvu, mashuti, jicho la goli, positioning, ball control ya hali ya juu na umaliziaji mzuri lakini maajabu inapokuja mechi kubwa atafanya vyote kwa usahihi wa hali ya juu lakini atashindwa kutumbukiza mpira kimiani tu.
4. Baada ya kuondoka Chama benchi la ufundi limejaribu sana kuijenga timu kucheza kwa kumtumia Bwalya lakini inaonekana mzigo huo ni mzito sana kwa Bwalya. Namna Bwalya anavyocheza kwa kweli huwa anaondoka sana eneo lake na hii iliwatesa sana Simba japo hata benchi la ufundi halikugundua mateso yanatoka wapi. Haiwezekani namba 10 ambaye anategemewa kutoa pasi za mwisho au kufungwa halafu muda mwingi wa mchezo yupo chini kabisa anapiga "square pass". Ilimpasa Bwalya mara nyingi awe si zaidi ya mita tano kati yake na Mugalu pale Simba wanaposhambulia na wakati wanashambuliwa arudi si zaidi sana ya katikati ya uwanja ili kuchukua mpira na kusamabaza kwa Mugalu au mawinga wake. Lakini maajabu Mugalu anaruka na mabeki wawili wa Yanga "second ball" inaanguka mwamba ambaye jana kaupiga mwingi sana Bangala anajiokotea taratibu bila upizani wowote anaupeleka mpira popote anapotaka. Na kingine Bwalya ni mzuri sana kwenye mechi ambazo hazina matumizi sana ya nguvu kwani hawezi kabisa kugongana na viungo wa timu pinzani. Simba hawakuwa tishio kwa mabeki ya Yanga muda wote wa mchezo kwa sababu Bangala alikuwa huru muda wote wa mchezo. Kwa hili la Bwalya najua wengi watanipinga sana kwa sababu wabongo wanapenda kuona chenga hata kama hazina faida yoyote lakini ndio ukweli wenyewe japo mchungu sana.
5. Nilitegemea jana kwa kuwa mechi ilikuwa ya kugongana na matumizi ya nguvu sana basi benchi la ufundi lingeanza na Kibu kwenye winga moja na nafasi ya namba 10 acheze Sakho. Kwanini Sakho? Wepesi wake, spidi yake na pasi zake za upendo za mwisho na pia ameshaonesha ana uwezo wa kufunga.
6. Benchi la ufundi lilikuwa pia na uchaguzi wa kuanza Lwanga na Abdulswamad (kiungo aliyetoka Kagera) kama wakabaji halafu Kanoute akasogea juu. Kwa nini Abdulswamad ni kwa kuwa anakaba kwa nguvu sana, ni mtulivu na ni mzuri kwa mipira ya juu.
7. Benchi la ufundi la Simba likatae likubali kuwa Kibu ni muhimu sana kutokana na "work rate" yake. Na ndio atakuwa mchezaji muhimi sana kwao kwa sasa mpaka waje wampate mtu mwenye uwezo kama Konde Boy huko mbele ya safari. Jinsi alivyocheza mechi ya TP Mazembe ni kama vilemchezaji mzoefu wa mechi za kimataifa. Kwa nini jana hakutumika hiyo tuwaachie benchi la ufundi la Simba.
8. Pia benchi la ufundi la Simba likatae likubali Sakho ndio atawasaidia kuwatengenezea magoli kwa sasa mpaka hapo baadaye watakapokuja kumpata Chama mwingine huko miaka ijayo.

Mwisho lazima nilipongeze sana benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na Nabi kwani kwa mbinu walizotumia jana walilichanganya kabisa benchi la ufundi la Simba lisijue nini cha kufanya kiasi likianza kufanya "sub" za ovyo kabisa. Sijui wale waliotaka kumfukuza Nabi wataficha wapi sura zao. Na iwapo Yanga wasingeenda kuzurura Moroco basi kwenye CL wangetoboa na wangefika mbali sana mwaka huu. Kila nilipokuwa nikitazama mpira jana ilikuwa vigumu sana kuamini kuwa Simba ndio waliopata "pre season" nzuri kuliko Yanga.
Uchambuzi mzuri sana huu. Nafikiri pia uwezo wa Gomes ni mdogo,inaonekana kilichokuwa kinambeba ni kukuta timu iliyokuwa imetengenezwa na Sven. Gomes kwasasa anashindwa kutengeneza muunganiko wa timu kwa kufuata mifumo yake, ndiyo maana pira biriani halionekani.
 
Alikuwa anakula bablishi uwanjani hajali wala nini huyo mchezaji simba walimtoa wapi wamrudishe kagere
Ndo linapokeraga watu hili li mugalu, yaan linatafuna tu bablish na linatabasamu hovyo tyuuh, yaan hata halijutii linakera San lol.
 
Aisee japo mpira Simba tuliupiga mwingi, lakini kwa hakika sikuona sababu ya kocha kumuacha Mugalu kipindi cha pili! Ni bora hata angemuingiza Kibu Denis, Mugalu hayuko makini na kama first eleven yetu, yeye ndo atakuwa mtu wa kusimamia show basi mwaka huu tuna shida!
 
Simba simbaaaa achaneni na mechi ya Jana Yanga wanawatoa kbs kwenye mstari tena mpk viongozi wenu.
Mjue mna mechi za kimataifa angalieni mlipokosea ili mparekebisha.
Mnachotakiwa kwa sasa mtoe ushauri mzuri ili timu iweze kufanya vzr kwenye kila tournament mnayoshiriki FA ligi club bigwa hyo ndyo iwe focus yenu kujibishana na yanga inawatoa kwenye focus yenu
 
Ndo linapokeraga watu hili li mugalu, yaan linatafuna tu bablish na linatabasamu hovyo tyuuh, yaan hata halijutii linakera San lol.
Halafu alikuwa hajituma yeye ni show off tu ka mwanamke anayetongozwa kanichefua kweli unaleta mbwembwe uwanjani
 
Watu mnaona Mugalu anakosa sana magoli.Lakini hamjajua tofauti Kati ya Kagere na Mugalu.

Mugalu anakosa magoli lakini at least anajua jinsi ya kujiposition ndio maana anapata nafasi nyingi. Kagere akipata clear chance huwa anafunga sawa, lakini kwake huwa ni ngumu kupata clear chance kwa sababu hajui kujiposition.

Nawahakikishia zile clear chance alizokosa Mugalu jana, angekuwa Kagere asingepata hata hizo chance.

Binafsi naona bora hata anayepata chance nyingi za kufunga, kuliko anayekimbia kimbia hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa kichwa na anastruggle sana kupata chance
Yaani upate chance 5 usifunge hata moja ubora wake upo wapi hapo zaidi ya kutuumiza mashabiki halafu usilete dharau kwa kagere kiasi hicho kama hujui uwezo wake wa kufunga ulivyo mkubwa
 
Najua kuna mtakaonipinga sana, cha kwanza Chris Mugalu hata kama wakija Bayern munich hapa akawafunga kwangu nitalichukulia ni lijinga tu limepiiga fluke halina tofauti na Giroud tena afadhali ya yule mzungu hata goal anajua liko wapi

Kuhusu kocha nilimpenda sana mwanzoni ila ukweli ni kwamba hii ligi ya 16 teams(teams zina hasira kali mwaka huu na Gomez style yake ileile hadi mabeki) na mtindo wake wa kubagua wachezaji ajiandae tu Mungu tusaidie simba tutetee taji which is going to be hard sababu nimeambiwa kuna mtu mkubwa anambeba Mugalu na kocha ila sisi tutaamua mwishoni tuaona nani mshindi basi

Hivi mimi siyo mtaaluma wa mbinu ,siyo kocha ila kama dilunga alimsumbua Djuma shabani akamzuia kupanda halafu kocha akamtoa na kufanya makorokocho ili kijana wake sijui nani wake mugalu abaki uwanjani ingekuwaje kama ile nafasi ya kushoto angecheza 11 Gadiel michael , tatu zimbwe.......namba 7 kapombe...mbili Israel Mwenda kwani kingeharibika nini

Yaani itumike hata champions league wana uwezo wote wa kupanda na kuzuia kwani lazima kina peter banda?

Any way labda tunahitaji akili mpya nasikia mzungu kila siku anatishia kuondoka anabembelezwa , Mugalu anakosa magoli anacheka na kutafuna jojo TUAMKE SASA MASHABIKI WA SIMBA TUWE AGGRESIVE NDIYO TUNAWAPENDA MO NA BARBARA ILA SASA HALII INAPOELEKEA MAZOEA YANAAANZA KUWA MABAYA CHUKUENI HATUA KAMA VIPI MZUNGU NA KIPENZI CHAKE SIJUI MPENZI WAKE MUGALU

Watu mnaona Mugalu anakosa sana magoli.Lakini hamjajua tofauti Kati ya Kagere na Mugalu.

Mugalu anakosa magoli lakini at least anajua jinsi ya kujiposition ndio maana anapata nafasi nyingi. Kagere akipata clear chance huwa anafunga sawa, lakini kwake huwa ni ngumu kupata clear chance kwa sababu hajui kujiposition.

Nawahakikishia zile clear chance alizokosa Mugalu jana, angekuwa Kagere asingepata hata hizo chance.

Binafsi naona bora hata anayepata chance nyingi za kufunga, kuliko anayekimbia kimbia hovyo uwanjani kama kuku aliyekatwa kichwa na anastruggle sana kupata chance
Tusajili streka mwingine tu
 
Tatizo sio hao, tatizo ni Chama.

Kumbukeni Chama alipopatwa na matatizo Ismba iliyumba sana kwa kitoa droo na pia kufungwa, nadhani hakuna mwchi walizoshinda mpaka aliporudi ndio Simba ikaanza kushinda.
Hili pia ni tatizo Simba,bwalya hawez Yale majukumu kbs
 
Back
Top Bottom