Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

dah inauzunisha sanaaa, pole kwa wafiwa na Mungu awape faraja yake na kum2nza mtoto alie muacha.
 
Poleni sisi sote wana JF. Poleni sana familia ya marehemu. Wakati huu wa majonzi tukumbuke kumshukuru Mungu kwa kutupa Chetuntu kwa kipindi chote cha uhai wake. BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE!

<font size="4"><span
style="font-family: arial"><font color="#ff0000"><b>Wapendwa Marafiki, Wajukuu na wote wenye mapenzi mema, salaam</b></font><font color="#b22222"><br />
</font></span></font><font color="#424242"><br />
<br />
</font><b><font color="#ff0000"><font size="3">Ilikuwa weekend mbaya sana kwa ODM, Baada ya kushtushwa na msiba wa watanzania wenzetu kwenye ajali ya meli haukupita muda nikapigiwa simu.Nikaambiwa Mjukuu wangu mwema wa hapa JF, binti mpole na mcheshi aliyekuwa msikivu na mwelewa, gwiji hapa JF hususani jukwaa pendwa MMU amefariki dunia. Inauma sana! Inauma sana ndugu zangu.....<br />
<br />
Imagine siku moja kabla ya kifo chake (jumatano jioni), niliona missed call yake kwenye simu yangu (Nahisi alikuwa ananiaga, labda)..... Baadaye nikampigia hakupokea...... Kesho yake nikampigia simu yake ikawa haipatikani!!!! Kumbe maskini alikuwa ameshatangulia mbele ya haki!!!!<br />
<br />
Niliumia sana, nikaingia JF kufuatilia threads na posts zake.........<br />
</font></font></b><font color="#424242"> <br />
</font><font color="#ff0000"><font size="4"><b>Hii alibisha hodi...</b></font></font><font color="#424242">...<br />
<br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/utambulisho-member-intro-forum/101596-hodi-jamvini.html?highlight=" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/utambulisho-member-intro-forum/101596-hodi-jamvini.html?highlight=</a><br />
<br />
</font><font size="4"><font color="#ff0000">Hapa akatutakia weekend njema;</font></font><font color="#424242"><br />
<br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/121026-weekend-njema-wana-mmu.html?highlight=" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/121026-weekend-njema-wana-mmu.html?highlight=</a><br />
<br />
</font><font size="4"><font color="#ff0000">Alivyokuwa na upendo, hapa alikuwa anawaomba watu wajitolee damu kuwasaidia wahanga wa mabomu Gongo la Mboto.<br />
</font></font><font color="#424242"><br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/111276-mahitaji-ya-damu-kwa-wahanga.html?highlight=" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/111276-mahitaji-ya-damu-kwa-wahanga.html?highlight=</a><br />
<br />
</font><font color="#ff0000"><font size="4">Hapa akawa anatafuta ushauri kwa ajili ya mpendwa<br />
</font></font><font color="#424242"><br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/122420-msaada-kwa-mkaka.html?highlight=" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/122420-msaada-kwa-mkaka.html?highlight=</a><br />
<br />
</font><font color="#ff0000"><font size="4">Yaliyomkera pia aliyasema.....</font></font><font color="#424242"><br />
<br />
<a href="https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/125696-abbreviations.html?highlight=" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/125696-abbreviations.html?highlight=</a><br />
<br />
<br />
</font><font size="4"><font color="#ff0000">Ni mengi mno.........kwa manaomkumbuka mtakuwa shahidi yangu, kuwa JF imempoteza mtu muhimu sana. Mipango ya Mungu haina makosa...... Nilitaka kujua sababu ya kifo chake. Mfanyakazi mwenzie wakiwa wanalitumikia shirika la msalaba mwekundu huko Kigoma akaniandikia hivi:</font></font><font color="#424242"><ul><li><b>She had Pregnancy compllications.....especialy what so called Pregnancy induced Hypretension....which Lead to what so called Eclampsia.....therefore on an attempt to Help her things went Worse...and she called off arround 4:00 Earlier thursday Morning...!!</b></li><li><b><b>Ndo hivyo mkuu...!!hata cc 2mechanganyikiwa kabisa...!!ni mtumishi mwenzetu...!!especialy me..tulikuwa tukifanya report naye ya kufunga nusu mwaka na 2kapata wote Lunch...just a Day b4 her tragedy....!!hivi naongea jana Wamemsafirisha kwenda Dar kwa parents wake probably wameshaingia leo taratibu zaid bado cjazipata..</b>!</b>!<br />
<br />
<font color="#ff0000"><font size="4">Anyway; She was laid to rest Jumamosi, Mbezi Beach.<br />
<br />
Please join me to pray for her soul to rest in peace. Amen</font></font></li></ul></font><br />
<font color="#333333"><font color="#333333"><span style="font-family: Tahoma"><ul><li><a href="https://www.jamiiforums.com/members/chetuntu.html" target="_blank"><img src="https://www.jamiiforums.com/customavatars/avatar34941_68.gif" border="0" alt="" /></a><b>JF Senior Expert Member</b><img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_pos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/reputation/reputation_highpos.png" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<div style="text-align: right;"><div style="text-align: left;"><font color="#2A343B"><b>Join Date : 10th January 2011</b></font><br />
<font color="#2A343B"><b>Location : Paediatrique ward</b></font><br />
<font color="#2A343B"><b>Posts : 963</b></font><br />
<br />
<font color="#2A343B"><b>Rep Power : 22</b></font></div><br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
</div></li></ul></span></font><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37042&amp;d=1315811668" border="0" alt="" /><br />
<br />
Kadi kwa hisani ya Afrodenzi..........<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37048&amp;d=1315812260" border="0" alt="" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37047&amp;d=1315812243" border="0" alt="" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37045&amp;d=1315812220" border="0" alt="" /><br />
<br />
Marehemu Ameacha mtoto mmoja wa kiume....Picha kwa hisani ya kiritimba.<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=37057&amp;d=1315819434" border="0" alt="" /><br />
Kadi kwa hisani ya Afrodenzi......</font>
<br />
<br />
 
Very Sad. May the Almighty God Rest Your Soul in Eternal Peace. Amen
 
riptombstoneballoon.jpg
Hilo sanamu limekaa utafikiri maliaka wa motoni, sijaipenda hii. Take care tafsiri ya picha inaweza kuwaje mkuu!
 
oooooh, jamani jamani jamani, moyo wangu moyo wangu, yaaaaaahhh!

yah yah yah, huzuni kuuu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Chetundu mahali pema pepon amina!

NCHI NZURI YAMETAMETA
1. Nchi nzuri yametameta
huonekana kule mbali
naye Yesu hutuongoza
tukafike na sisi huko


si mbali karibu

tutaimba na sisi huko X 2
.

2.
Kule tutawaona wengi

wapendwao na Bwana Yesu

tutashirikiana nao
itakuwa furaha kubwa

si mbali&#8230;

3. Tutamwona na Bwana wetu
Yesu Kristo mwokozi wetu
tutashangilia daima
tuna hamu ya kwenda kwetu

si mbali&#8230;.


Mpendwa asprin ubarikiwe sana kwa taarifa na (kwa kweli) kwa namana ulivyowasilisha. inagusa sana nyoyo!

Bwana alitoa na Bwana ametwaa
JINA LA BWANA LIBARIKIWE
 
Chetuntu tangulia dada, kuondoka kwako kumetuachia majonzi makubwa familia yako na hata sie wanaJF. Tulikupenda sana lakini MUNGU alikupenda zaidi Chetuntu. You will be missed mpendwa.
 
Mola aipumzishe roho yake mahala pema. Yatosha kuwa mawaidha kwetu tuliobaki.
 
Masikini sikujua dada B ndiye Chetuntu!Kwakweli msiba wake umeleta pengo kubwa sana Kigoma; she was a great person, friend and a hardworker! Mungu ailaze mahali pema roho yake!Amina!
 
Mungu ailaza roho yake mahala pema na mwanga wa milele amuangazie, ampe pumziko la moyo. tutakukumbuka daima dear.
 
Mungu ailaze roho yake mahala pema na mwanga wa milele amuangazie, ampe pumziko la moyo. tutakukumbuka daima dear.
 
JF has lost a very special person, and will never be able to fill the void that has been left behind. May God bless her soul and complete all her wishes.

Heartfelt condolences,

MaxShimba
 
oh this is real sad,
Mungu pekee ndiye awezaye kutoa faraja ya kweli, Mungu awape faraja na awatie nguvu familia na marafiki, na Mungu amkuze mwanaye kwa upendo mkuu. Amen
 
Mods: kuna thread nimeanzisha ni kitoa wazo la namna ya kumuenzi dada yetu Chetuntu lakini sielewi kwa nini imeunganishwa na ile ya JF ITOE POLE KWA WAFIWA WA ZANZIBAR! Case ya dada yetu ni tofauti kabisa so ningeomba muirudishe mlikoitoa kwa hakuna uhusiano kati ya kifo cha Chetuntu na ajali ya Nungwe!
 
Back
Top Bottom