Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

Gone Too Soon: RIP JF Member.....Chetuntu!!!

Mungu ailaze roho ya marehemu dada yetu mahala pema peponi. Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Duh!............ R.I.P Chetuntu. Nakumbuka nilimpokea jukwaa la utambulisho.

tena wewe ndiye uliyekuwa wa kwanza kabisa kumfungulia mlango alipobisha hodi hapa JF, its sooooo touching!!

raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanaga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amina!

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe!
 
Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani. Aaaamen!
 
tena wewe ndiye uliyekuwa wa kwanza kabisa kumfungulia mlango alipobisha hodi hapa JF, its sooooo touching!!

raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanaga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amina!

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe!


Yaani nimeshtuka utadhani namfahamu moja kwa moja.
 
Mungu ailaze roho y marehemu mahala pema peponi....Amen
dunia tunapita, kila mtu njia yake ni hiyo moja tu, poleni wafiwa
 
Ninaloweza kusema ni kuwa NIMESHTUKA!
Nikiiona avatar yake na picha ni kama namfahamu, sijui nilimwonaga wapi huyu mdada !
Dadaangu mpendwa, kapumzike kwa amani...Kazi uliyofanya yatosha!
Raha ya milele umpe eebwana na mwanga wa milele umwangazie!

Naomba nimuimbie Chetuntu(rip) wimbo huu:

Si mbali safari, siku nyingi
Kuaga dunia kutazama juu,
Vinanda vyalia kwa sauti tamu
Malaika waimba kumsifu Mungu.

Lango la dhahabu linafunguka.
Mwanga wa
milele unamulika.

etc etc...Asprin anaweza kuendeleza nimesahau mashairi mengineyo!
 
Mods: kuna thread nimeanzisha ni kitoa wazo la namna ya kumuenzi dada yetu Chetuntu lakini sielewi kwa nini imeunganishwa na ile ya JF ITOE POLE KWA WAFIWA WA ZANZIBAR! Case ya dada yetu ni tofauti kabisa so ningeomba muirudishe mlikoitoa kwa hakuna uhusiano kati ya kifo cha Chetuntu na ajali ya Nungwe!
Nakuunga mkono mkuu, mkifanikiwa mtujuze hata kwa pm ili na sie tuchangie
 
Nakuunga mkono mkuu, mkifanikiwa mtujuze hata kwa pm ili na sie tuchangie

....Dadangu Moderators wameificha thread kule kwenye Msiba wa Zanzibar, sijui wamehusianisha vipi haya matukio mawili, so members wengi wameshindwa kuiona ile thread kwa sababu imefichwa kule.....pengine Moderators hawajapenda wazo lile? to me it was better wangeidelete tu kuliko kuipeleka kusikohusika......!
 
duh!
Poleni sana wafiwa.
Mungu aliyemjua tangu tumboni mwa mama yake, ampe heri kwa kadiri ya matakwa yake.
Upendo wake ukawe mwanga kwa waliobaki.
Mwanae akapate kukua katika uchaji wa Mungu.
 
Maisha mengi yanapotea mapema siku hizi ... Kazi ya Mola haina makosa... Pumzika kwa AMANI Chetuntu...
 
....Dadangu Moderators wameificha thread kule kwenye Msiba wa Zanzibar, sijui wamehusianisha vipi haya matukio mawili, so members wengi wameshindwa kuiona ile thread kwa sababu imefichwa kule.....pengine Moderators hawajapenda wazo lile? to me it was better wangeidelete tu kuliko kuipeleka kusikohusika......!

...inawezekana ni makosa ya kibinadamu tu, nashauri ui report thread hiyo ili ifanyiwe kazi/marekebisho.
tuwe wastahmilivu katika kipindi hiki kizito kwa misiba ya taifa hao wahanga wa ajali ya meli, na
mwenzetu chetentu.
 
Back
Top Bottom