Gongo ipi Nzuri!

Mimi nlidhani ni kule kijijini tu watu wanapenda coz hawana pesa ya kununua bia!Kama vipi fanyeni mpango ihalalishwe maana inaonekana inapendwa sana!!

Ikihalalishwa itapungua umaarufu! Halafu si vijijini hata kwenye miji mikuu Gongo ipo, Dar mitambo iko boko, Kunduchi na Mbagala
 
ila gongo hata ulaya lipo hasa urusi,lkn nadhani sio 'zuri' kama la home kwetu bongo.
 
Sasa mtanywea chini ya miti mpaka lini Mchungaji!!Off topic...offer yangu vipi?
Ikihalalishwa itapungua umaarufu! Halafu si vijijini hata kwenye miji mikuu Gongo ipo, Dar mitambo iko boko, Kunduchi na Mbagala
 
Sasa mtanywea chini ya miti mpaka lini Mchungaji!!Off topic...offer yangu vipi?

Unajua hapa jukwaani kuna walozi wengi! Ile offer yako tutaizungumzia Chemba
 
Hahahaah tapu tapu mkuu zinaleta vitambi sana! Enzi zile Sumaye ni Mwalimu wa Nyegezi hahahaah hata gongo alikuwa anapiga kule ziwani Luchelele!

Mkuu ishia hapohapo, kama unaijua mitaa ya yule mshkaji miaka ile basi unaweza kujikuta unanibumburua buree! Kwaheri, subiri kwanza nikale supu ya sato wakati nalivutia kasi la leo pale kwa mama nanihii!teh teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…