Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Naona watu mumesahau kutaja gongo za bei mbaya kama Grants, konyagi nk.
Content content Mkuu watu wanafagilia sana Mvuke wa Mavi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona watu mumesahau kutaja gongo za bei mbaya kama Grants, konyagi nk.
Mimi nlidhani ni kule kijijini tu watu wanapenda coz hawana pesa ya kununua bia!Kama vipi fanyeni mpango ihalalishwe maana inaonekana inapendwa sana!!
Hizo za nini tena, sie tupo kwenye mkakati wa kupromote bidhaa za kienyeji za tanzaniaNaona watu mumesahau kutaja gongo za bei mbaya kama Grants, konyagi nk.
Content content Mkuu watu wanafagilia sana Mvuke wa Mavi
Ikihalalishwa itapungua umaarufu! Halafu si vijijini hata kwenye miji mikuu Gongo ipo, Dar mitambo iko boko, Kunduchi na Mbagala
ila gongo hata ulaya lipo hasa urusi,lkn nadhani sio 'zuri' kama la home kwetu bongo.
Unajua hapa jukwaani kuna walozi wengi! Ile offer yako tutaizungumzia Chemba
Hizo za nini tena, sie tupo kwenye mkakati wa kupromote bidhaa za kienyeji za tanzania
Hahahaah tapu tapu mkuu zinaleta vitambi sana! Enzi zile Sumaye ni Mwalimu wa Nyegezi hahahaah hata gongo alikuwa anapiga kule ziwani Luchelele!
Rafiki wa kike haina shida njoo naye!
Unajua hapa jukwaani kuna walozi wengi! Ile offer yako tutaizungumzia Chemba
Unahitaji ulinzi kweli kwa Mchungaji? mmmhhhh hebi acha mlinzi ataleta giza
Hapana Mchungaji huyu yeye ni macho tu hawezi kwazika kwa Mwanakondoo