Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Taja bar nikawakanye, tabia mbaya kabisa hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeambiwa ni XXL kama wale unaowalaga ofisini kule😁😁😁Kuna mishangazi?
Mkuu kunywa maji kwanzaNakuelewa mkuu. Sikumbuki mara ya mwisho kusifiwa lini,sisi wanaume tunapenda pia kusifiwa jinsi tulivo sio kusifiwa utafutaji wetu au pesa zetu. I love my women anisifie hata nyusi zangu na vidole vyangu virefu vilivo vizuri. Uko wapi Zubeda wangu i miss youu 😭😭
Wana charge bei gani kwani?Nawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
H@ta mimi nasubiri maelekezo hayoDahhhhh....
Wanaume wengine mnachezea bahati sana...😑
Ebu nielekeze vizuri hiyo mitaa mkuu...😋
Pugu boys stand up!!Nawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Asante mkuuMkuu kunywa maji kwanza
Unaongea kwa mafumbo hata kudiriki kusema si vema kupataja mahali husika. Aidha unataka wenye mamlaka wachukue hatua. Hao wenye mamlaka watapajuaje hapo mahali? Kama huko tayari kupataja mahali husika, mada yako inabakia kuwa majungu na bora ukae kimya makosa yaendelee.Nawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Leo tena ana Kanyigo?Nawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Mrejesho muhimu Sanaa 😊Pale stendi ni maeneo gani nikahakikishe mwenyewe
Panachuana na Buza.. Siku hizi yake machimbo ya zamani yanakufaNawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Saa hao mm ndio nawataka maana hawana gharama VP mchana huu wapo kweriniwafuate?maananinakiuLeo tena ana Kanyigo?
Kuna mchungaji alisikika akisema ni kwaajili ya vikao vya dharuraNawasalimu.
Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.
Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"
Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.
Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)
Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Nakumbuka 2017 hapo palipokuwa bar ya gaddafi lilikuwa chimbo hatari , sijui kama bi aisha yupo ndio chimbo pekee nishawai ona unapimwa ukimwi na std kabla hujapewa tunda .Panachuana na Buza.. Siku hizi yake machimbo ya zamani yanakufa
LEO TENA Kalagabaho bin Nongwa.Pale stendi ni maeneo gani nikahakikishe mwenyewe