KERO Gongo la Mboto mwisho ni chimbo la madada poa mchana kweupe. Wenye mamlaka mliangalie na mfuatilie

KERO Gongo la Mboto mwisho ni chimbo la madada poa mchana kweupe. Wenye mamlaka mliangalie na mfuatilie

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hao watu wanakera na wanaharibu jamii,nimekasirika sana ebu nipe jina la hiyo baa tuwashughulikie.
Chalamila na Bomboko pamoja na viherehere vyao walishindwa kuwashughulikia wewe nani mpaka uweze. Uzembe wa serikali kutengeneza ajira kwa hao wadada unasababisha watumike huko chini ili waweze kupata chakula na mahitaji mengine ya msingi kwa wao na familia zao.
 
Unaongea kwa mafumbo hata kudiriki kusema si vema kupataja mahali husika. Aidha unataka wenye mamlaka wachukue hatua. Hao wenye mamlaka watapajuaje hapo mahali? Kama huko tayari kupataja mahali husika, mada yako inabakia kuwa majungu na bora ukae kimya makosa yaendelee.
Sikia ninachosema ni ukweli mtupu kwa sababu za kibiashara nashindwa kutaja jina la mtu wala biashara yake. Wewe fanya research fupi tu, nenda hadi gongo la mboto mwisho kabisa mida ya kuanzia saa moja, mtafute kijana yeyote muulize hilo swali.
 
mkuu, kwa haraka haraka wanaweza fika 400 kwa idadi?,..🤔🤔
 
Chalamila na Bomboko pamoja na viherehere vyao walishindwa kuwashughulikia wewe nani mpaka uweze. Uzembe wa serikali kutengeneza ajira kwa hao wadada unasababisha watumike huko chini ili waweze kupata chakula na mahitaji mengine ya msingi kwa wao na familia zao.
Chalamila kafanikiwa kuwatoa wahaya pale mwananyamala. Sasa hivi ustaarabu upo atleast.
 
Nawasalimu.

Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.

Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"

Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.

Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)

Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
Una dalili mbaya sana mzee mtoto wa kiume unaogopa mademu? Eti ukiitwa upige show basi wamekuvunjia heshima?
 
Hao wanazua taharuki na kukiuka mila na desturi zetu za kitanzania.. nakuomba ewe mzalendo toa maelekezo vizuri ili tutunze vyema TUNU za taifa letu tukufu..
Toa location ya uhakika bei zao, na bar ambayo huwepo leo ijumaa niende nikasurvey
 
Nawasalimu.

Pale Gongo la Mboto mwisho ikishafika saa moja jioni wanaanza kujitokeza kwenye vichochoro vyao na nguo za kuamsha hisia.

Utasikia "Shemeji nimekupenda ulivyo mrefu mweusi, njoo basi nikupe utamu"

Yaani unaweza kuvunjiwa heshima hivihivi unaona, Tena sasahv wamejaa wale XXL sio tena medium na slim fit.

Ni hapo gongo la mboto mwisho karibu na baa fulani kubwa tu (sio vema kuitaja jina)

Wenye mamlaka, Chukueni hatua stahiki, Vijana wetu wadogo wanapitia hali ngumu sana.
pumbav!!! wewe unataka tupone wapi!!!!??????????????????
 
Back
Top Bottom