KERO Gongo la Mboto mwisho ni chimbo la madada poa mchana kweupe. Wenye mamlaka mliangalie na mfuatilie

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu kunywa maji kwanza
 
Wana charge bei gani kwani?
 
Pugu boys stand up!!

Ila siku hizi nasikia wamezungushia ukuta shule nzima poleni sana wadogo zangu ku drop kupata vitu kama hivyo vya mtoa mada ndio basi tena.
 
Unaongea kwa mafumbo hata kudiriki kusema si vema kupataja mahali husika. Aidha unataka wenye mamlaka wachukue hatua. Hao wenye mamlaka watapajuaje hapo mahali? Kama huko tayari kupataja mahali husika, mada yako inabakia kuwa majungu na bora ukae kimya makosa yaendelee.
 
Leo tena ana Kanyigo?
 
Panachuana na Buza.. Siku hizi yake machimbo ya zamani yanakufa
 
Kuna mchungaji alisikika akisema ni kwaajili ya vikao vya dharura
 
Panachuana na Buza.. Siku hizi yake machimbo ya zamani yanakufa
Nakumbuka 2017 hapo palipokuwa bar ya gaddafi lilikuwa chimbo hatari , sijui kama bi aisha yupo ndio chimbo pekee nishawai ona unapimwa ukimwi na std kabla hujapewa tunda .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…