didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Daah hivi azuma itanisaidia?Umevuna gono na herpes kwa pamoja.
Umechukua package ya maana.
Piga azuma 1500gms x Siku 3.Daah hivi azuma itanisaidia?
Daah ndo ushaur huu kwel? Naumwa sanaUkichelewa ina katika iyo
ubarikiwe sanaPiga azuma 1500gms x Siku 3.
ahsante sanaPole sana mkuu
daah ngoja nipigike tu hamna namnaPowercef shindano 5 .Jumla kuu 20,000/=
Unahikuta unaingia gharama kuipata hiyo ngono, baadae unaingia gharama kutibu magonjwa ya ngono. Mleta mada una allergy na kinga?Powercef shindano 5 .Jumla kuu 20,000/=
Ila utaharisha, ni kawaida.ubarikiwe sana
ufe kuku wwMbona bado hapo mpka boo likatike litoe usaha
Kila jumatatu huwa haipiti salama bila kuwa na visa vya mapenzi vya weekend! Duh wewe nawe hata huumwi ni wasiwasi wako Tu. Ndio ujinga wa Ngono, the moment ukimaliza ndio akili zinakurudiaSamahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana ,pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa. Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?
Acha tu kiongoz nimejifunza saivUnahikuta unaingia gharama kuipata hiyo ngono, baadae unaingia gharama kutibu magonjwa ya ngono. Mleta mada una allergy na kinga?