Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Una picha ya huyo demu? Tuma picha tuone tujue namna ya kukushauri accordingly. Anafanana na yupi Kati ya hawa??ahsante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una picha ya huyo demu? Tuma picha tuone tujue namna ya kukushauri accordingly. Anafanana na yupi Kati ya hawa??ahsante sana
Unajua leo hadi nmerud mapema kutoka ofisinKila jumatatu huwa haipiti salama bila kuwa na visa vya mapenzi vya weekend! Duh wewe nawe hata huumwi ni wasiwasi wako Tu. Ndio ujinga wa Ngono, the moment ukimaliza ndio akili zinakurudia
dem mwenyew ni mwanasiasa. yupo kama huyo wa frame 2Una picha ya huyo demu? Tuma picha tuone tujue namna ya kukushauri accordingly. Anafanana na yupi Kati ya hawa??View attachment 3085304View attachment 3085305
Ahsante sana kwa kunijuzaIla utaharisha, ni kawaida.
HapanaDaah hivi azuma itanisaidia?
Hongera ya nn kijana naumwaHongera sana Mkuu
Kama Yuko kwenye SIASA tena CCM Anza kumeza Azuma, CCM na gono ni Sawa na kidole na petedem mwenyew ni mwanasiasa. yupo kama huyo wa frame 2
ahsante mzee usiku huuhuuHiyo ni full package, tafuta azuma ASAP
Ndio Hongera...wenzio hata hawajawahi kuumwa gono we huoni ulivyo na bahati?Hongera ya nn kijana naumwa
Hii ni ngoma phase I, hatua ya pili kichwa kitakuwa cha moto kama pasi.Samahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana ,pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa. Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?
sio CCM😅😅😅Kama Yuko kwenye SIASA tena CCM Anza kumeza Azuma, CCM na gono ni Sawa na kidole na pete
😅😅😅akili hunaNdio nak
Ndio Hongera...wenzio hata hawajawahi kuumwa gono we huoni ulivyo na bahati?
naiwahi mzeeKuna huyu mwamba wa kuitwa Supa Gono. Ukikumbana naye. Ukizubaa ni kuRIP tu hakuna namna!