Gonjwa la ngono

Gonjwa la ngono

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Samahanini wakuu,

Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana.

Pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa.

Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?
 
Samahanini wakuu. Ijumaa usiku nilifanya ngono sna na mwanamke mmoja sasa hali imenobadilikia jpil na leo yaan napata Homa kali usiku na maumivu ya kichwa kwa kipindi cha mchana ,pia nimetoka ka kipele kwenye sehemu ya nywele za sehem za siri na mwisho kama vimaumivu vidogo sana napata nikiwa na nikimaliza kukojoa. Msaada wenu huu utakua ugonjwa gan?
Kila jumatatu huwa haipiti salama bila kuwa na visa vya mapenzi vya weekend! Duh wewe nawe hata huumwi ni wasiwasi wako Tu. Ndio ujinga wa Ngono, the moment ukimaliza ndio akili zinakurudia
 
Back
Top Bottom