Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ilikuwa inakaribia saa sita na nusu usiku,nimetoka wash room tayar kwenda kulala,,,,mara mdogo wangu ananigongea mlango na kusema "broo chakula hakikai tumboni na kibaya Zaidi najisikia kutapika Mda wote lakini nikienda wash room hakuna kinachotoka hii Hali inaniumiza Sana".
Nikajisemea Moyoni huyu dogo nae muoga kweli WA kuumwa si avumilie Tu huenda dawa zinamkoroga tumboni ndio maana anajisikia hivyo,ukichukulia ana kama siku mbili tatu toka amalize dozi ya malaria. Nikamwambia "au labda dawa hizo zinakuchefua huenda mpaka kesho utakuwa Sawa" Kwa jinsi alivyokuwa anajisikia aliniambia " broo naomba nipeleke hospitali japo nikapate sindano ya kuzuia kutapika" daah nikimcheki namuona kabisa kwenda hospital ndio option iliyobakia,,,,,,wanasema damu nzito kuliko maji,Ila kama maji yangekuwa mazito kuliko damu ningemwambia broo jikaze twende kesho halafu ningezama rumu na kulala!
Basi Safar ya kwenda hospitali ikaanza,,,mara paap dokta huyu hapa! Dogo akajielezea kuwa amekunywa dozi siku mbili tatu zilizo pita lkn jioni Ile Hali imebadilika na chakula hakikai kabisa kabatini so anahitaji huduma ya kuzuia kutapika,,,,dokta akauliza maswali mawili matatu kujua historia ya tatizo,akaelezwa lakini Mimi na mdogo wangu tukaona kama dokta anazunguka Sana wkt Sisi tunataka sindano ya kuzuia kutapika,,,,mwisho wa siku dokta akasema inaelekea bado malaria ipo,nikamwambia lakini dokta, je si itahitajika baada ya wiki moja labda ndo kujua kama IPO au laa ukichukulia kamaliza dozi juzi Tu? Dokta akapozi Kwanza kama mtu ambaye anatusoma mawazo yetu na alikuwa mstaarabu Sana pamoja na Sisi sio wataalamu lkn tukajifanya kuchalenge utaalaamu! Akasema sasa kama dozi haijamsadia hata ukisubiri wiki moja ipite ndo utakuwa Una prove nini sasa? Kwa sauti ya upole na utulivu alitujibu.
Basi Kwa kawaida dogo vidonge huwa hapendi,so akachagua sindano Kwa siku tano akamaliza dozi na akawa freshi kabisa na msosi ulikuwa unakaa kabatini vizur kabisa na anaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Moral of the story :
Kwanza,,,, usidharau Jambo lolote hata likiwa dogo,,,,Mimi na bwana mdogo tulijua dawa zilikuwa zinamvuruga tumboni Tu so haikuwa ishu kubwa kivile,kumbe ugonjwa bado ulikuwa unamtafuna.
Pili,,,, Kwa kila Jambo waachie wenye ujuzi nalo,usileta bla bla bla za vijiweni,tuheshimu Utaalamu siku zote.
Ni hayo Tu!
Nikajisemea Moyoni huyu dogo nae muoga kweli WA kuumwa si avumilie Tu huenda dawa zinamkoroga tumboni ndio maana anajisikia hivyo,ukichukulia ana kama siku mbili tatu toka amalize dozi ya malaria. Nikamwambia "au labda dawa hizo zinakuchefua huenda mpaka kesho utakuwa Sawa" Kwa jinsi alivyokuwa anajisikia aliniambia " broo naomba nipeleke hospitali japo nikapate sindano ya kuzuia kutapika" daah nikimcheki namuona kabisa kwenda hospital ndio option iliyobakia,,,,,,wanasema damu nzito kuliko maji,Ila kama maji yangekuwa mazito kuliko damu ningemwambia broo jikaze twende kesho halafu ningezama rumu na kulala!
Basi Safar ya kwenda hospitali ikaanza,,,mara paap dokta huyu hapa! Dogo akajielezea kuwa amekunywa dozi siku mbili tatu zilizo pita lkn jioni Ile Hali imebadilika na chakula hakikai kabisa kabatini so anahitaji huduma ya kuzuia kutapika,,,,dokta akauliza maswali mawili matatu kujua historia ya tatizo,akaelezwa lakini Mimi na mdogo wangu tukaona kama dokta anazunguka Sana wkt Sisi tunataka sindano ya kuzuia kutapika,,,,mwisho wa siku dokta akasema inaelekea bado malaria ipo,nikamwambia lakini dokta, je si itahitajika baada ya wiki moja labda ndo kujua kama IPO au laa ukichukulia kamaliza dozi juzi Tu? Dokta akapozi Kwanza kama mtu ambaye anatusoma mawazo yetu na alikuwa mstaarabu Sana pamoja na Sisi sio wataalamu lkn tukajifanya kuchalenge utaalaamu! Akasema sasa kama dozi haijamsadia hata ukisubiri wiki moja ipite ndo utakuwa Una prove nini sasa? Kwa sauti ya upole na utulivu alitujibu.
Basi Kwa kawaida dogo vidonge huwa hapendi,so akachagua sindano Kwa siku tano akamaliza dozi na akawa freshi kabisa na msosi ulikuwa unakaa kabatini vizur kabisa na anaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Moral of the story :
Kwanza,,,, usidharau Jambo lolote hata likiwa dogo,,,,Mimi na bwana mdogo tulijua dawa zilikuwa zinamvuruga tumboni Tu so haikuwa ishu kubwa kivile,kumbe ugonjwa bado ulikuwa unamtafuna.
Pili,,,, Kwa kila Jambo waachie wenye ujuzi nalo,usileta bla bla bla za vijiweni,tuheshimu Utaalamu siku zote.
Ni hayo Tu!