Kabisa mzeeWagonjwa wanaosaidiwa na diamond, Mashabiki wanaosaidiwa pesa na diamond Wananchi wasiojiweza wanaosaidiwa na diamond yote hamuyaoni aseee,achaneni na ma hisa sijui manini nk,
njooni tu semeni ukweli sio kumponda ponda kijana wa watu kwa mawivu ya kimaandazi yasio na mbele wala nyuma,sio kila anae msifia diamond anakaa kwa dada ake au shemeji ake,wapo wanaosifia kwasababu panahitaji kusifiwa.
Msipo msifia leo mnataka mumsifie akifa? mifano hai ya huyu kijana akifanya vitu vya kuonyesha na kugusa jamii ni vingi,adanganye asidanganye wewe unaemponda Hudanganyagi? kuna watu hii dunia mna wivu na chuki sijawahi ONA.
Mimi naongea fact wewe inaleta propagandaHizo Ni fikra zako kwa level alifikia diamond sio za kudanganya umma na adanganye umma ili iweje? Mzee usikariri maisha sio kila msanii anaweza kuishi maisha ya kufake
Hii mentality ya kusaidiwa saidiwa inaboa sana na mpaka wanasiasa wame capitalise sana kwenye hii kitu.Wagonjwa wanaosaidiwa na diamond, Mashabiki wanaosaidiwa pesa na diamond Wananchi wasiojiweza wanaosaidiwa na diamond yote hamuyaoni aseee,achaneni na ma hisa sijui manini nk,
njooni tu semeni ukweli sio kumponda ponda kijana wa watu kwa mawivu ya kimaandazi yasio na mbele wala nyuma,sio kila anae msifia diamond anakaa kwa dada ake au shemeji ake,wapo wanaosifia kwasababu panahitaji kusifiwa.
Msipo msifia leo mnataka mumsifie akifa? mifano hai ya huyu kijana akifanya vitu vya kuonyesha na kugusa jamii ni vingi,adanganye asidanganye wewe unaemponda Hudanganyagi? kuna watu hii dunia mna wivu na chuki sijawahi ONA.
Ila siyo mbele ya Mkuu wa nchi kama alivyo Fanya diamond mbeyaHata Mimi naweza kusimama jukwaani nikasema namiliki Hotel ya nyota 5 kumbe nyuma ya pazia Hotel ni ya watu wanaokwepa mkono wa serikali wananitumia
Ungeonesha ushahidi unaonesha Ni uongo ningekuunga mkono nilichokiona wewe unaongea kihisia zaidi una tofauti na wale ambao wanaamini ukiwa tajiri basi lazima utakuwa Freemason au muuza ngadaMimi naongea fact wewe inaleta propaganda
Hii iko mkoa na mtaa gani kwa hapa duniani
Sio kweli. Ssnasana Remmy Ongara . Wengine walihishia Nairobi na band ya watu 10haya masystem ya kutanguliza watu maharufu kwenye miradi mikubwa wanatumia sana wanasiasa na Mafia groups duniani kote!!
mifano ipo Mingi...hapa Tanzania unashangaa mfano Masanja Mkandamizaji in few years anamiliki mali zenye thamani ya mabilioni,wakati kina marehem Majuto,mzee Small n.k wamekufa hoeae masikini wa kutupwa japo wamechekesha jamii ya kitanzania for decades!! Erick Omond,Churchil ,Klint the drunkard wa Nigeria anafanya show nyingi na ni maharufu na Nigeria ina watu wengi wanaoangalia comedy lakini yeye na hawa wa Kenya wana utajiri wa kawaida!! Joti au Mpoki wana wapenzi wengi na wanafanya vizuri kuliko Masanja!! ila Masanja kawapita kwa mali...je ni mchele wa Ubaruku tu???na Kulala juu ya mafyover[emoji1787][emoji1787]
Wanamziki kama Wale Wa Njenje,Sikinde,Kila late Remy Ongala,Moshi William Hamza Kalala na Wengine wameimba mziki ndani na nje ya Tanzania..Wengi wao wamefariki ata nyumba ya chumba kimoja awana.Diamond Baba ake mzazi mpaka leo hii anauza viatu vya mtumba anavyonunua pale Karume! aingii akikini mtu mwenye background kama yake na ukizingatia piracy ya music/movie za Kitanzania awe na pesa na mali ambazo anaonyesha kwenye social media...Ila ata last akuna siri chini ya jua...ipo siku all will be revealed
Mbona zote anazo na anamiliki au wewe ni mrundi[emoji109]Hivi lile Rolls Roys limefikia wapi?
Hiyo Hotel yake ya Nyota 5 inajulikana kwa jina gani ? Na ipo wapi?
Halafu wacheni kiki za kijinga basi