CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Wagonjwa wanaosaidiwa na diamond, Mashabiki wanaosaidiwa pesa na diamond Wananchi wasiojiweza wanaosaidiwa na diamond yote hamuyaoni aseee,achaneni na ma hisa sijui manini nk,
njooni tu semeni ukweli sio kumponda ponda kijana wa watu kwa mawivu ya kimaandazi yasio na mbele wala nyuma,sio kila anae msifia diamond anakaa kwa dada ake au shemeji ake,wapo wanaosifia kwasababu panahitaji kusifiwa.
Msipo msifia leo mnataka mumsifie akifa? mifano hai ya huyu kijana akifanya vitu vya kuonyesha na kugusa jamii ni vingi,adanganye asidanganye wewe unaemponda Hudanganyagi? kuna watu hii dunia mna wivu na chuki sijawahi ONA.
njooni tu semeni ukweli sio kumponda ponda kijana wa watu kwa mawivu ya kimaandazi yasio na mbele wala nyuma,sio kila anae msifia diamond anakaa kwa dada ake au shemeji ake,wapo wanaosifia kwasababu panahitaji kusifiwa.
Msipo msifia leo mnataka mumsifie akifa? mifano hai ya huyu kijana akifanya vitu vya kuonyesha na kugusa jamii ni vingi,adanganye asidanganye wewe unaemponda Hudanganyagi? kuna watu hii dunia mna wivu na chuki sijawahi ONA.