Hayo ya kuajiriwa unasema wewe wao wameshafanya interview na Salam alisema wajumbe wa board na wana share. tuseme uko sawa kampuni yoyote lazima ioneshe pesa yake imepatikana wapi na hisa ni ngapi.Sallam sk na Babu tale Ni mamenager wa diamond kwenye upande wa label sio kwenye media na pia ujue sallam sk na Babu tale Ni waajiriwa tu wa diamond kwenye music only
Sallam sk alisema hivyo akizungumzia mgawo wa show atakazopiga diamond hapo kwenye music ila yeye kwenye media hausiki ndio maana hata promo afanyi yeye ana online tv inaitwa dizzim online hiyo yakusema ana hisa wa Wasafi media umeitolea wapi?Hayo ya kuajiriwa unasema wewe wao wameshafanya interview na Salam alisema wajumbe wa board na wana share. tuseme uko sawa kampuni yoyote lazima ioneshe pesa yake imepatikana wapi na hisa ni ngapi.
Haya yote angeweza epukana nayo kama angefanya mambo kimya kimya au angalau atangaze kitu kikishakamilika badala ya kupenda utoto wa kutamba na show off!!Unajuwa matukio kama haya yametokea sana nchi nyingi tu mtu ghafla kuibuka na pesa na miradi ikaja kuwa majanga. Kuwa na pesa sio dhambi na anaweza kuwa napesa tatizo linakuja hapa, inawezekana watu wanatakatisha pesa uwezekano ni mkubwa, kwa serikali makini na hii imetokea sana nchi nyingi tu. Ni kumwita ok na kufanya uchunguzi mdogo tuoneshe hisa zenu na pesa zilichangwa kupitia chanzo kipi? vyanzo vya pesa yako, mapato ya mwaka, matumizi ya mwaka, kodi za mwaka, na kujenga tower ina maana umeongeza mtaji umetokana na nini kuna maswali mengi na majibu yakitoka tunaweza kushika vichwa sasa je tuna vitengo maalumu vya kuangalia haya mambo na hapa sio Wasafi tu wako wengi tu. Huwezi mtu ghafla kaibuka tu hata mtaani kwako utasikia alikuwa hana kitu mwaka jana tu kaangusha nyumba hapa ananunua mpaka mtaa serikali kimya na watu wanaona sifa, kuwa tajiri sio dhambi ila utajiri umetokana na nini? Utakatishaji pesa ni tatizo kubwa duniani mara nyingi watu kuogopa mkono wa serikali wanawatumia hawa kuficha dhambi zao haiwezekani mtu mwingine ana share 51% halafu ajifiche halafu mtu kama babu tale kaweka sura mbele, kuna kitu hakijawekwa wazi hii ni kampuni kuna wenye share ni lazima itajwe thamani ya share na zimechangiwa kivipi sio kuleta number tu 51%, 45% haitoshi.
Salam na babutale wanamiliki Dizzim onlineHayo ya kuajiriwa unasema wewe wao wameshafanya interview na Salam alisema wajumbe wa board na wana share. tuseme uko sawa kampuni yoyote lazima ioneshe pesa yake imepatikana wapi na hisa ni ngapi.
huu ugonjwa only ninao kwa manchester united yangu...........Celebrity worship syndrome ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hutokea kumpenda mtu maarufu kupita kiasi.
(Kufatilia na kusifia/kupenda kila kitu anachofanya kwenye kazi yake na maisha binafsi.)
najua hili dogo anatumika kitambo sana...Diamond ni kama Masanja Makandamizaji!! Watu wanawekeza pesa zao(zingine chafu) yeye anaonekana Tajiri kumbe boshen tu.Wasafi FM,Chibu pafyme,diamond karanga na hiyo miradi mingine yeye ni mshika pembe tu wapo wenyewe😁!! Pesa zake (clean money) aziwezi fikia kiasi cha yeye kujenga ata jengo la Million$1.
Ndio maana kuna vitu vingi haviko wazi hata wale ma managers wake watatu wanasema wao sio wasindikazaji wana share sasa hatujui share zipi katika hiyo 45%? je 45% wanaongelea katika capital au profit? Mimi nadhani pale kuna jambo limejificha ni lazima waoneshe ok kampuni thamani yake 2 billion capital wewe ulichangia billion cash chanzo kipi mkopo au? na wale kina Tale share zao ni zipi katika nini maswali mengi mimi naamini kuna watu wanaficha pesa pale kama kichaka. nchi yoyote ukiweka kampuni yako public basi lazima ikaguliwe ilitokea huko India kampuni SAHARA siku alipoweka public kampuni zake mbili madudu yaliyotoka huko hatari.
mi ndio maana napinga mpaka kesho eti mziki wa bongo umpe utajiri wote ule.....mziki wa bongo haulipihaya masystem ya kutanguliza watu maharufu kwenye miradi mikubwa wanatumia sana wanasiasa na Mafia groups duniani kote!!
mifano ipo Mingi...hapa Tanzania unashangaa mfano Masanja Mkandamizaji in few years anamiliki mali zenye thamani ya mabilioni,wakati kina marehem Majuto,mzee Small n.k wamekufa hoeae masikini wa kutupwa japo wamechekesha jamii ya kitanzania for decades!! Erick Omond,Churchil ,Klint the drunkard wa Nigeria anafanya show nyingi na ni maharufu na Nigeria ina watu wengi wanaoangalia comedy lakini yeye na hawa wa Kenya wana utajiri wa kawaida!! Joti au Mpoki wana wapenzi wengi na wanafanya vizuri kuliko Masanja!! ila Masanja kawapita kwa mali...je ni mchele wa Ubaruku tu???na Kulala juu ya mafyover🤣🤣
Wanamziki kama Wale Wa Njenje,Sikinde,Kila late Remy Ongala,Moshi William Hamza Kalala na Wengine wameimba mziki ndani na nje ya Tanzania..Wengi wao wamefariki ata nyumba ya chumba kimoja awana.Diamond Baba ake mzazi mpaka leo hii anauza viatu vya mtumba anavyonunua pale Karume! aingii akikini mtu mwenye background kama yake na ukizingatia piracy ya music/movie za Kitanzania awe na pesa na mali ambazo anaonyesha kwenye social media...Ila ata last akuna siri chini ya jua...ipo siku all will be revealed
utakuta hapo ndio tajiri kuzidi wote hao...Huyu mwenye 2% angeuza hisa kwa mondi
kiuhalisia mziki wa bongo haulipi ila ndio ivyo tutafanyaje sasa na tumeshindwa wazidi majirani kenya na ugandaHarmonize alikuwa anadaiwa 500mil akauza nyumba zake 3 lkn bado hazikutosha kulipa deni ebu imagine yani mpk mtu unaanza kuuza asset manake umeshikwa pabaya bank hakuna kitu lkn ukiingia youtube utaambiwa harmonize ana utajiri wa 5 bilion + halafu unashindwa kulipa 500mil mpk unauza asset
ukweli mchungu huu ila hawatakuamini kamwe..........Unajuwa matukio kama haya yametokea sana nchi nyingi tu mtu ghafla kuibuka na pesa na miradi ikaja kuwa majanga. Kuwa na pesa sio dhambi na anaweza kuwa napesa tatizo linakuja hapa, inawezekana watu wanatakatisha pesa uwezekano ni mkubwa, kwa serikali makini na hii imetokea sana nchi nyingi tu. Ni kumwita ok na kufanya uchunguzi mdogo tuoneshe hisa zenu na pesa zilichangwa kupitia chanzo kipi? vyanzo vya pesa yako, mapato ya mwaka, matumizi ya mwaka, kodi za mwaka, na kujenga tower ina maana umeongeza mtaji umetokana na nini kuna maswali mengi na majibu yakitoka tunaweza kushika vichwa sasa je tuna vitengo maalumu vya kuangalia haya mambo na hapa sio Wasafi tu wako wengi tu. Huwezi mtu ghafla kaibuka tu hata mtaani kwako utasikia alikuwa hana kitu mwaka jana tu kaangusha nyumba hapa ananunua mpaka mtaa serikali kimya na watu wanaona sifa, kuwa tajiri sio dhambi ila utajiri umetokana na nini? Utakatishaji pesa ni tatizo kubwa duniani mara nyingi watu kuogopa mkono wa serikali wanawatumia hawa kuficha dhambi zao haiwezekani mtu mwingine ana share 51% halafu ajifiche halafu mtu kama babu tale kaweka sura mbele, kuna kitu hakijawekwa wazi hii ni kampuni kuna wenye share ni lazima itajwe thamani ya share na zimechangiwa kivipi sio kuleta number tu 51%, 45% haitoshi.
kwa ela ipi? asilimia kumi ya hisa unaijua au unaisikia.........changamsha ubongo wako kama unataka kuyajua mamboTufanye ana asilimia 10 bado nasema sio mchezo.
Mimi tenaKwanini na wewe usibarikiwe na Lucifer?
Kwani naongea na Nani?Mimi tena
Ukimgusa DOMO tegemea kila aina ya kejeli......Hilo nalitambua ila ukweli lazima usemwe.......Jilasi na Domo yanini? Kwani akiwa na hela au hasipokuwa nayo mimi inanisaidia nini? Bora wewe lazima ulambe MATTERCORE ya domo ili uendelee kulipwa mitandaoni.Mzee mzima kumbe na wewe una mijilasi ya nguvu.
We mwenyewe hujui chochote, si Bora ukae kimya tu unapinga nn Sasa? Na Hakuna unachojua kuhusu umiliki wake. Unachekesha Sana[emoji1787]kwa ela ipi? asilimia kumi ya hisa unaijua au unaisikia.........changamsha ubongo wako kama unataka kuyajua mambo
kwa ela ipi? asilimia kumi ya hisa unaijua au unaisikia.........changamsha ubongo wako kama unataka kuyajua mambo
Ukimgusa DOMO tegemea kila aina ya kejeli......Hilo nalitambua ila ukweli lazima usemwe.......Jilasi na Domo yanini? Kwani akiwa na hela au hasipokuwa nayo mimi inanisaidia nini? Bora wewe lazima ulambe MATTERCORE ya domo ili uendelee kulipwa mitandaoni.
Hata akitembea uchi atashangilia kuwa ni fashionCelebrity worship syndrome ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hutokea kumpenda mtu maarufu kupita kiasi.
(Kufatilia na kusifia/kupenda kila kitu anachofanya kwenye kazi yake na maisha binafsi.)