King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sina Jilasi na Domo hata kidogo,nimeongea ukweli halisi ingawa ni mchungu ,misukule ya domo hayawezi kuelewa....Domo ni AKA mkuu ni kama Lusinde aka Kibajaji ,Ali Kiba aka KIBAKULI au MTU FULANI aka MEKO kwahiyo usipanic ninavyotaja DOMO.Domo? You can do better than that bro. Kwanini usiseme Diamond? Jealous haziwezi kukusaidia kitu kaka.
Kwa kuongezea zaidi;Wakati mtu huyo anashangilia mafanikio ya huyo mtu maarufu yeye mwenyewe ni kapuku ambaye inawezekana hata mchana hajala chochote au ameshindia kahawa.Celebrity worship syndrome ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hutokea kumpenda mtu maarufu kupita kiasi.
(Kufatilia na kusifia/kupenda kila kitu anachofanya kwenye kazi yake na maisha binafsi.)
Ila kumbuka mkuu mke wa mmiliki wa clouds FM ndio mmiliki wa wasafi FMKweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T[emoji122]
Kwa mujibu huyo sio mmilikiSio mbaya 45 nyingi
Nani Mondi? Yeye asa ni kama nani ?Kwa mujibu huyo sio mmiliki
Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T[emoji122]
Jamaa anajitahidi kupika dataUkijumlisha hapo unapata ngapi Boss?
Kama yapi?Diamond anafanya Mambo mengi kwapupa na ulimbukeni
teh heh hehNyie ndio mnatia aibu mwanamme mzima na MAMBUPU na midevu hadi kwenye "MATTER CORE" unalipwa kumsifia mwanamme mwenzako.
Sina Jilasi na Domo hata kidogo,nimeongea ukweli halisi ingawa ni mchungu ,misukule ya domo hayawezi kuelewa....Domo ni AKA mkuu ni kama Lusinde aka Kibajaji ,Ali Kiba aka KIBAKULI au MTU FULANI aka MEKO kwahiyo usipanic ninavyotaja DOMO.
King Kong humu kwenye jukwaa ni mkongwe sana. Level it down bro, we expect more from you than this. Let's make it positive. Halafu ukiniita msukule wa Domo unakosea. Labda nikuulize tu, hivi kitu gani kinakufanya umchukie?
Nasikia za chini chini alitoa jicho poridogo kabarikiwa sana na Lucifer sijui alimtolea sadaka gani maana sio kwa upendo huu
Leta fact mkuuutakuta hapo ndio tajiri kuzidi wote hao...
Nanukuu msanii mmoja wa kenya aliwahi kusema angalia wasanii wa zaman wa kenya na wasanii wa zaman wa Tanzania halafu compare hali zao kiuchumikiuhalisia mziki wa bongo haulipi ila ndio ivyo tutafanyaje sasa na tumeshindwa wazidi majirani kenya na uganda
Ukiwa bize na maisha huwezi kua chizi wa ushabikiUnaweza pia kusema ulevi pia,wengi wanapenda kutumia kwenye pombe kumbe ukipendA kitu kupita kiasi ni ulevi.
Wengi wao wanaopenda celebrity kupita kiasi wanakuwaga wanakula na kulala bure,yaani ni jobless.
Hivi collabo ya Diamond na Wizkid inatoka ?Ungeweka na picha za hyo tower mpk ilipofikia ingekuwa vyema sana kuliko maneno
Umeongea point.Nanukuu msanii mmoja wa kenya aliwahi kusema angalia wasanii wa zaman wa kenya na wasanii wa zaman wa Tanzania halafu compare hali zao kiuchumi
of course wasanii wa bongo ni matajiri social network not in reality
Wivu mkuu unakusumbua, aliyepewa kapewa. Kwangu mimi diamond kuwa na mbwembwe na mafanikio aliyoyapata ni sahihi ametoka zero now hero, kwanini tusimpongeze, kwanini tupuuze juhudi zake! Kwa hapo alipo amekuwa mfano bora wa ramani ya mafanikio kwa watoto wa masikini. Ukiachana na mziki anaofanya pia amekuwa mbunifu wa kutengeneza biashara nyingi ambazo zimeongeza utajiri wake. Hata kama hauamini mziki wake amini kwenye hustle zake. Huyo ndo babako!!Non Sense!!!!!!! TCRA si wameweka wazi wamiliki na hisa za wasafi? Mbona unajitoa ufahamu? Mnaona JF wamejaa maburula kama nyinyi? Huyo msaniii wenu kupata vijishare vya wasafi mikelele mwaka mzima,je angekuwa na 100% share si tusingelala? Ebu mwambie awagugo kina Dre , Diddy ,Birdman walivyo na ma investment ya hatari halafu hawana YOWE hata kidogo!! Huyo msanii wenu ana utajiri wa kibongo tu.
Kila mtu akitoa maona tofauti basi misukule ya domo inasema ni wivu,hivi nimuonee wivu domo kwa lipi? Hivi tz nzima ni yeye ndio aliyetoka zero? Mbona kuna Mabilionea wengi sana wana mpunga wa hatari na wameanzia sifuri na wala hatujawahi kuwasema? msilazimishe msanii wenu akubalike na watu wote!! Kuna wengine sio wapenzi wa muziki wake wa BENIBATI au MNANDA.Wivu mkuu unakusumbua, aliyepewa kapewa. Kwangu mimi diamond kuwa na mbwembwe na mafanikio aliyoyapata ni sahihi ametoka zero now hero, kwanini tusimpongeze, kwanini tupuuze juhudi zake! Kwa hapo alipo amekuwa mfano bora wa ramani ya mafanikio kwa watoto wa masikini. Ukiachana na mziki anaofanya pia amekuwa mbunifu wa kutengeneza biashara nyingi ambazo zimeongeza utajiri wake. Hata kama hauamini mziki wake amini kwenye hustle zake. Huyo ndo babako!!