Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Ni namba mbili baada ya BurnaboyNamba tatu??
Acha kujitoa ufahamuKuwa mkweli.
Nitajie wimbo wako wa mwisho kuusikia wa Snoop?
Unajua kama alibadili jina?
Yeah according to BET 2021Namba tatu??
Yeah harmonize anataka kipochi manyoya kwa nguvu [emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia kina na Harmonize wamezinguana. More info tafadhali
Akiweza kupiga hata na mlevi nakupa 1bNa sisi konde gengi tunakwenda kukinukisha USA ngojeeni mapicha mapicha na Drake, Justin Bieber, Beyonce sio hao wastaafu[emoji1787] [emoji2223][emoji205]
View attachment 1850945
Ewaaah upewe ulinzi Makao makuu ChattleNi namba mbili baada ya Burnaboy
Fact huyo Ni mwijaku na zabibu kiba kwa pamoja unapata boyaAcha kujitoa ufahamu
Huu ni wimbo wa mwaka gani?Acha kujitoa ufahamu
Acha kupost ungese kwenye jukwaaa makiniNa sisi konde gengi tunakwenda kukinukisha USA ngojeeni mapicha mapicha na Drake, Justin Bieber, Beyonce sio hao wastaafu🤣 🤸♂️🐒
View attachment 1850945