Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Habari Nzuri kwenye tasnia ya Muziki (bongo flavour) nchini Tanzania ni kuwa msanii Namba Tatu Africa Baada ya Burna Boy ma Wizkid na Namba moja Tanzania ameingia studio na king wa West coast SNOOP DOGG.
DIAMOND PLATINUMZ amepost kwenye Instagram page yake na kuambatanisha na maneno yanayosomeka "Listen, Learn from the king, and you'll achieve more".
Diamond platinumz yupo Marekani kwa mwezi mmoja ikiwa ni Maandalizi ya kuzikwa[emoji23] kabisa ili achukue GRAMMY AWARD 2022
DIAMOND PLATINUMZ amepost kwenye Instagram page yake na kuambatanisha na maneno yanayosomeka "Listen, Learn from the king, and you'll achieve more".
Diamond platinumz yupo Marekani kwa mwezi mmoja ikiwa ni Maandalizi ya kuzikwa[emoji23] kabisa ili achukue GRAMMY AWARD 2022