Magix Enga
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 610
- 449
Huku mtaani kwetu Embakasi utapata asubuhi na mapema omba omba ni vibakuli kutokaTanzania huwa wamejazana kila kona jamani kwa Magufuli kunani,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umesahau kuwa hao ombaomba wapo HIJA KENYA ujui mtume wao no OMBAOMBA MKUU RAISI UHURU KENYATTA.Huku mtaani kwetu Embakasi utapata asubuhi na mapema omba omba ni vibakuli kutokaTanzania huwa wamejazana kila kona jamani kwa Magufuli kunani,
Umenikumbusha kuhusu rose rose muhando 🤔life is really hard in Tanzania. she had to travel all the way to Kenya to seek help as everyone in Tanzania anapambana na hali yake.
huyu abakie hapa hapa nchini maana akirudi kwao, atateseka huyu.
🤣😃😃😂😂🤣Wengi wao haihitajiki ID kuwatambua. Ni rahisi sana kuwajua waTz. Pitia mitaa ya River Road, Tom Mboya Street na Moi Avenue, hutawakosa. Wakiwa na Public Address Systems (redio, battery na mic) akiimba kwaya huku pembeni kuna bakuli la kuchangiwa senti. Lafudhi tu itadhihirisha ni WaTz.
Ila pamoja na yote, Wakenya wanawapenda sana Watanzania, asikufiche mtu.
Kafanya jambo jema didi ni nduguUkitoa msaada acha Mabango huku Tanzania wapo wakenya wengi wenye shida mbalimbali tunasaidiana kama ndugu na hatujawahi kuulizana utaifa kwenye shida sisi tukitenda jambo huwa hatutangazi bali tunasubiria masawabu tuu