Good News For Tanzanian Woman With Strange Growth as Governor Ngilu Intervenes

Huku mtaani kwetu Embakasi utapata asubuhi na mapema omba omba ni vibakuli kutokaTanzania huwa wamejazana kila kona jamani kwa Magufuli kunani,
 
Huku mtaani kwetu Embakasi utapata asubuhi na mapema omba omba ni vibakuli kutokaTanzania huwa wamejazana kila kona jamani kwa Magufuli kunani,
Kwani umesahau kuwa hao ombaomba wapo HIJA KENYA ujui mtume wao no OMBAOMBA MKUU RAISI UHURU KENYATTA.
 
life is really hard in Tanzania. she had to travel all the way to Kenya to seek help as everyone in Tanzania anapambana na hali yake.
huyu abakie hapa hapa nchini maana akirudi kwao, atateseka huyu.
Umenikumbusha kuhusu rose rose muhando πŸ€”
 
πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Ukitoa msaada acha Mabango huku Tanzania wapo wakenya wengi wenye shida mbalimbali tunasaidiana kama ndugu na hatujawahi kuulizana utaifa kwenye shida sisi tukitenda jambo huwa hatutangazi bali tunasubiria masawabu tuu
Kafanya jambo jema didi ni ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…