jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Pamoja sana mkubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana mkubwa!
Tupo pamoja ndugu yangu kiboko ya tanapa
Tulishaingia mikataba na kabila kwenye mafuta lake tanganyika na hii SGR wasiwasi wangu ni kama atakae Kuja tutaendana nae sababu viongozi wanatofaitiana kwenye vipaumbele.Mkuu ngoja kwanza Vuguvugu La Kabila Liishe ,u hope watajoin kwenye hii Project
Wala usiwe na wasiwasi katika hilo, DRC hana choice katika hilo, muhimu ni train ifike Kigali tu, baada ya hapo wakongo na mizigo yao itaflow by osmosis.Tulishaingia mikataba na kabila kwenye mafuta lake tanganyika na hii SGR wasiwasi wangu ni kama atakae Kuja tutaendana nae sababu viongozi wanatofaitiana kwenye vipaumbele.
Yaani mtu asipo kubaliana na mambo haya, atakuwa na roho ya kichawi.
kweli hiyo noma zaidi.. halafu ata wakija mnaeza msijue maana wana magari yana plate number za Kenya Defence Force (KDF) walipokonyaga jeshi la Kenya.. so sad!Hahahahhaha , sasa Si bola fuko La kinyesi mkuu!! Unashangaa Al shabaab wameteka Treni yote [emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ni Wazo zuri sana kuinganisha Africa masharikiDah sipati picha kuboard train Dar naenda zangu Kigali kula diner kesho yake nipo Dodoma mapema kabisa kwa lunch I wish Congo ingekuwa stable tuwaunge na wao
Yeah ilimradi SGR itafika kwenye shores za lake tanganyika Congo tutakua tumeifikia, Mbarawa juzi kwenye tweets ameconfirm mpaka kule Lindi, Mtwara, Mchuchuma na Liganga pamoja na Arusha SGR itafika wapo kwenye stages za kutengeneza bids so tunaelekea kuzuriWala usiwe na wasiwasi katika hilo, DRC hana choice katika hilo, muhimu ni train ifike Kigali tu, baada ya hapo wakongo na mizigo yao itaflow by osmosis.
Wala usiwe na wasiwasi katika hilo, DRC hana choice katika hilo, muhimu ni train ifike Kigali tu, baada ya hapo wakongo na mizigo yao itaflow by osmosis.
nazani mna mchokoza zzitto na kigoma yake... tren mna ipeleka kigali badala ya ujiji.... hahahahahahahahaaaa.Tulishaingia mikataba na kabila kwenye mafuta lake tanganyika na hii SGR wasiwasi wangu ni kama atakae Kuja tutaendana nae sababu viongozi wanatofaitiana kwenye vipaumbele.
Hata hawa Kenya, mwishoni itabidi wakubaliane na ukweli kwamba hawatoweza kubaki peke yao lazima waunganishe katika huu mtandao wa central corridor, vinginevyo reli yao utaishia nowhere, kwasababu sioni kabisa uwezekano wa Kenya kuifikisha Malaba, uwezekano mkubwa itaishia Kisumu, hivyo Uganda haitojenga kuunganisha Kampala la Malaba, na kwasasa shifting ya biashara inahama kutoka Kenya na Uganda na kuelekea Kenya na Tanzania, umuhimu wa SGR kati ya Kenya na Uganda unazidi kupungua, mizigo ya Uganda toka Mombasa inaweza kuhudumiwa na bandari ya Kisumu.Yeah ilimradi SGR itafika kwenye shores za lake tanganyika Congo tutakua tumeifikia, Mbarawa juzi kwenye tweets ameconfirm mpaka kule Lindi, Mtwara, Mchuchuma na Liganga pamoja na Arusha SGR itafika wapo kwenye stages za kutengeneza bids so tunaelekea kuzuri
Ni kweli Africa tunatakiwa tuwe kama ulaya mfano swala la mjerumani kwenda Netherlands, Poland, France, Australia, Italy, Spain ni kama mtanzania anavyofikiria kwenda Dar, Moro, Dom, Tanga yani hakuna kuwaza muda, visa wala nini unaweza kuingia moja ya hizo nchi ndani ya saa 3 tu mtu anatoka Germany kwenda Netherlands wala hakuagi unashangaa mnakula chakula cha mchana anakwambia leo asubuhi nilienda NetherlandsNi Wazo zuri sana kuinganisha Africa mashariki
hapa kwenye visa... nazani kwakuwa tupo katika SADC itakuwa rahisi kama wao na shengen (sijui nimepatia) una zurura tu.... mara malawi, mara kigali, mara maputo... una swampa... na pass yako mkononi kukutambulisha ni mwenzaoNi kweli Africa tunatakiwa tuwe kama ulaya mfano swala la mjerumani kwenda Netherlands, Poland, France, Australia, Italy, Spain ni kama mtanzania anavyofikiria kwenda Dar, Moro, Dom, Tanga yani hakuna kuwaza muda, visa wala nini unaweza kuingia moja ya hizo nchi ndani ya saa 3 tu mtu anatoka Germany kwenda Netherlands wala hakuagi unashangaa mnakula chakula cha mchana anakwambia leo asubuhi nilienda Netherlands
Sasa itakuwaje kwa wale waliokuwa wanakunywa kahawa na makaburu enzi za ubaguzi wa rangi, nao waruhusiwe kutembelea nchi za SADC wakitumia IDs?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hapa kwenye visa... nazani kwakuwa tupo katika SADC itakuwa rahisi kama wao na shengen (sijui nimepatia) una zurura tu.... mara malawi, mara kigali, mara maputo... una swampa... na pass yako mkononi kukutambulisha ni mwenzao
Kitu ambacho kitaleta matumaini ni kama Zambia na Zimbabwe wataitikia hii trendy ya SGR ikatokea na wao wakapata hichi kimbunga cha SGR kilichopo kwenye nchi za afrika mashariki itapendeza sana sababu mtu atakua na uwezekano wa kutoka Djibouti mpaka Capetown kwa SGR.hapa kwenye visa... nazani kwakuwa tupo katika SADC itakuwa rahisi kama wao na shengen (sijui nimepatia) una zurura tu.... mara malawi, mara kigali, mara maputo... una swampa... na pass yako mkononi kukutambulisha ni mwenzao
Aisee kitu ninachowaonea majirani huruma ni Lamu port ile bandari wameijenga kimihemko sana worst enough kwa mkopo wakifikiria kuteka soko la Rwanda, Burundi and Congo lakini pia Ethiopia na S.Sudan ambao wote hakuna mwenye interest nao hata mmoja.Hata hawa Kenya, mwishoni itabidi wakubaliane na ukweli kwamba hawatoweza kubaki peke yao lazima waunganishe katika huu mtandao wa central corridor, vinginevyo reli yao utaishia nowhere, kwasababu sioni kabisa uwezekano wa Kenya kuifikisha Malaba, uwezekano mkubwa itaishia Kisumu, hivyo Uganda haitojenga kuunganisha Kampala la Malaba, na kwasasa shifting ya biashara inahama kutoka Kenya na Uganda na kuelekea Kenya na Tanzania, umuhimu wa SGR kati ya Kenya na Uganda unazidi kupungua, mizigo ya Uganda toka Mombasa inaweza kuhudumiwa na bandari ya Kisumu.