Good News: Mawaziri Kutoka Tanzania na Rwanda Wakutana Kuhusu Ujenzi Wa SGR, Dar Es Salaam

Good News: Mawaziri Kutoka Tanzania na Rwanda Wakutana Kuhusu Ujenzi Wa SGR, Dar Es Salaam

Kitu ambacho kitaleta matumaini ni kama Zambia na Zimbabwe wataitikia hii trendy ya SGR ikatokea na wao wakapata hichi kimbunga cha SGR kilichopo kwenye nchi za afrika mashariki itapendeza sana sababu mtu atakua na uwezekano wa kutoka Djibouti mpaka Capetown kwa SGR.
Naomba dua Mh lungu na mnangagwa emason walione hili.... pepo wa maono awafikie.... tusiishie kuona wale wazungu wanao safiri kwa tren toka SA mpaka Dar kuja kutalii na kurudi... tuna taka na sisi tutembee kote africa mashariki na kusini kwa tren....

nazani mwaka 2030 tuta jaribu kuwaza SGR kwenda zenji....
 
Nina matuamaini sana na wauza kopa... kuungana nasi katika huu upepo... kwa kuwa tuna urafiki wa muda mrefu ulio tukuka... wa kujenga reli... hivyo na ktk hili... wakiuza kopa watakuja kushiriki nasi katka Ujenzi wa SGR na ikifika zambia basi wazimbabwe nao hata taka kubaki nyuma... ndipo hapo waswana nao wataitikia wito na wanamibia na waangola, muswato, wale wanampula...

kusini yote ina kuwa ktk mtandao wa SGR.... ndipo wakenya nao kwa kumtumia balozi wao maalum Mh. Nasa kuja kuunga SGR kuanzia Ethiophia, Nairobi, dodoma, mbeya tuna songa kusini...

kama alivyo sema Mh. mbawala kuwa kutakuwa na mtandao wa SGR tz....
 
kama ni raia kutoka nchi za SADC... haina shida ,na wengine wasio wa SADC nazani wataona umuhimu wa nchi za africa kuwa na Pass moja na pesa moja... ndio maendeleo hayo...
Sasa itakuwaje kwa wale waliokuwa wanakunywa kahawa na makaburu enzi za ubaguzi wa rangi, nao waruhusiwe kutembelea nchi za SADC wakitumia IDs?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee kitu ninachowaonea majirani huruma ni Lamu port ile bandari wameijenga kimihemko sana worst enough kwa mkopo wakifikiria kuteka soko la Rwanda, Burundi and Congo lakini pia Ethiopia na S.Sudan ambao wote hakuna mwenye interest nao hata mmoja.

Ikumbukwe Asilimia kubwa ya mizigo ya Mombasa ni ya wakenya wenyewe kisha waganda na wala haijatumiwa vya kutosha sasa unajaribu kufikia Lamu ni nani atatumia kurudisha mikopo ya watu unabaki na big question mark
Mkuu ujenzi Lamu port hadi sasa Kenya hawajakopa, wamejenga kwa kutumia pesa zao za ndani, bado hakuna nchi wa Bank iliyokubali kutoa pesa kwasababu hainyeshi kuwa na faida za kiuchumi hivyo uwezekano wa kurudisha mkopo ni mdogo.

Kwa ujumla wakenya ni wabovu sana katika kupanga vipaumbele vya taifa, miradi mingi inaanzisha kwa ajili ya showoff na kupata sifa zaidi ya kupata manufaa ya mradi husika, miradi ya maana kama Galana irrigation project, underground water huko Turkana, na miradi ya maji ya kunywa kwasababu haionikani machoni, haipewi umuhimu. Sasa mradi wa one child one Laptop una maana gani?, huu wa Lamu port una umuhimu gani kwa sasa?, SGR Nairobi - Naivasha una uharaka gani kwa sasa wakati umeshafika Nairobi?
 
Back
Top Bottom