Naomba dua Mh lungu na mnangagwa emason walione hili.... pepo wa maono awafikie.... tusiishie kuona wale wazungu wanao safiri kwa tren toka SA mpaka Dar kuja kutalii na kurudi... tuna taka na sisi tutembee kote africa mashariki na kusini kwa tren....Kitu ambacho kitaleta matumaini ni kama Zambia na Zimbabwe wataitikia hii trendy ya SGR ikatokea na wao wakapata hichi kimbunga cha SGR kilichopo kwenye nchi za afrika mashariki itapendeza sana sababu mtu atakua na uwezekano wa kutoka Djibouti mpaka Capetown kwa SGR.
Sasa itakuwaje kwa wale waliokuwa wanakunywa kahawa na makaburu enzi za ubaguzi wa rangi, nao waruhusiwe kutembelea nchi za SADC wakitumia IDs?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu ujenzi Lamu port hadi sasa Kenya hawajakopa, wamejenga kwa kutumia pesa zao za ndani, bado hakuna nchi wa Bank iliyokubali kutoa pesa kwasababu hainyeshi kuwa na faida za kiuchumi hivyo uwezekano wa kurudisha mkopo ni mdogo.Aisee kitu ninachowaonea majirani huruma ni Lamu port ile bandari wameijenga kimihemko sana worst enough kwa mkopo wakifikiria kuteka soko la Rwanda, Burundi and Congo lakini pia Ethiopia na S.Sudan ambao wote hakuna mwenye interest nao hata mmoja.
Ikumbukwe Asilimia kubwa ya mizigo ya Mombasa ni ya wakenya wenyewe kisha waganda na wala haijatumiwa vya kutosha sasa unajaribu kufikia Lamu ni nani atatumia kurudisha mikopo ya watu unabaki na big question mark
kristo huyu wenu amekuwa ******** siyo 😀Ngoja wapinga kristo waje hapa.