Good news: Wenye nia njema na Yanga huko CAF wamtetea Mayele, kiatu CAFCL ni chake mwaka huu, aibu kwa Karia na Motsepe

Ila watu mna siri sana kumbe ni toka kipindi hicho nina miaka minne [emoji86][emoji86]
 
Ukweli ndugu yangu imenibidi nicheke kutokana na hili bandiko uliloliweka hapa
 
Jamani mbona hamna live updates za Yanga humu?.muda ndo huu au iko kwny stick huko?.
 
Nakuona Kalpana unavyo umizwa na matokeo kwenye hiyo picha ya pili kutoka chini. Tarehe 23 mwezi ujao, ujitahidi sasa kuvumilia maumivu.

Ameongezeka na Tuisila Kisinda.
Hahaha mkuu umeamua kunifanya bonge na cheupe sio?sawa tukutane trh 23
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…