Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
Waseme mara ngapi? Ya kwamba account hii Iko chini ya uangalizi wa wanasheria wake wakitoa fursa yenu ndugu kumwaga mwanaharakati huyu???? Na itafungwa completely baada ya siku chache zijazo?? Tumieni fursa hii kukumbuka msimamo na harakati yake badala ya kuzusha vitu visokuwa vichwa wala miguu???
Mjuu kuu wangu usije nitusi bure, ujue mite mbabu? Usije kosa thawabu bure, kwa mwenyezi Mmngu, haikuwa maana yangu kukuudhi, samahaniHata wakisema mara mia.. kwa profile hayo maneno umeyaona kifoto hicho nimerusha?
Unakimbikia kuninukuu unafikiri sijasoma yaliyoandikwa..
Muwe mnafikiria nje ya boksi kwanza na sio kuja kuandika upupwu huku umeishia wewe kuchemka.. jione kwanza..
Eeeeeeh
Ndio maana wa nchi hii kqenye mengi wengi mtakuwa mikia tu milele msipojibadili
mzee Taharuri, mbona watetemeka?Mjuu kuu wangu usije nitusi bure, ujue mite mbabu? Usije kosa thawabu bure, kwa mwenyezi Mmngu, haikuwa maana yangu kukuudhi, samahani
Movement ipo, ila wewe ndio haupo katika movement...haikuwahi kukoma
Sema alikuwa hana pesa.Wembamba usikupelekee uamini hivyo ni mwili tuu sema alikuwa anajinyima sana
Mbona picha bila maelezo?hapo ni msibani ama umkhonto yupo kati ya hao?
Hii ya mwaka gani?
Recent, just black and whiteHii ya mwaka gani?
Tuko pamoja nao, hilo ni tawi la Marcus garvey. Sisi tuna jishughulisha Na kuunda commons ideology, bridging gapes nakuondoa tofauti zetu, one motto: we are human, we are brothersmkuu mbona nimekuuliza hujanijibu nahitaji kujua hizo harakati zenu zina uhusiaano na za african american wsnaorudi africa? hebu msachi jamaa mmoja anaitwa Bomani tyehimba anaefanya movement ya repatrion in africa
Of course based on our rootsTuko pamoja nao, hilo ni tawi la Marcus garvey. Sisi tuna jishughulisha Na kuunda commons ideology, bridging gapes nakuondoa tofauti zetu, one motto: we are human, we are brothers
OK,ubebaji ,mavazi ,location km ya zamani, hkn ambayo picha wanaaga km vile tulivyozoea huku,jeneza na picha kwa pamoja ,nauliza tu usinichokeRecent, just black and white
Waraka aliuandika mwaka juzi, Wala si wakati wa kuumwa kwakeNzuri km alipata wasaa wa kuandika na kutoa maagizo juu ya waraka wake
Hahaha Mkuu umewaza nini?Umeona utoe kafara account moja.
Unaruhusiwa kuwaza upendavyo, wengine marehemu tulimfahamu! Lakini ukiambiwa yesu hakuzaliwa, hakuishi, hakusulubiwa wala kamwe hatorudi tena unabisha sana, Wala huhoji, ila unaona wepesi sana kusingizia watu wana multiple identities,na balali je mbona alizikwa ulaya?Umeona utoe kafara account moja.