if you don't like do be challenged,Wadandia magari, safari hamuijui, shauri zenu
takataka.Waliomjua, wanajua kinaendelea nini, pole kwako, tatizo mko nje ya inner circle
una challange nini huu uzi wa kumbukumbu ya marehemu, sio mdahaloif you don't like do be challenged,
undeni group la whatsapp ili muwe na privacy ya kujadili habari za merehemu wenu na hiyo movement yenu.
sio mnakuja na thread za mafumbo hapa.
sasa kwanini mmeanzisha hii thread if you are not entitled to give out any information about the deceased person?.Sababu, haziko katika mamlaka yetu, kuzitoa....
marehemu wa kufikirika... marehemu hewa.... marehemu wa mtandaoni. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]una challange nini huu uzi wa kumbukumbu ya marehemu, sio mdahalo
Kwa viongozi hawa wa kiafrika mnadhani inaweza kuwa ni changamoto kwenu kushindwa kufanikisha hii movement?Tuko pamoja nao, hilo ni tawi la Marcus garvey. Sisi tuna jishughulisha Na kuunda commons ideology, bridging gapes nakuondoa tofauti zetu, one motto: we are human, we are brothers
Tuwekee linkHii thread naiona hivi sasa. Better late than never.
Umkontho is a real hero, she still lives even now. Kama hamuamini nendeni mkasome content zake. If they wont change your view on viewing black peoples' origin,then your are a useless man.
Ataishi milele kwakua aliyoyapigania ni ukweli wote, na ukweli hujitetea wenyewe hata kama unaumiza.
Rest in power ,our beloved hero.
Huyo marehemu kama ana familia basi ni members tu wa JF na si vinginevyo,maana kiuhalisia sidhani kama kuliwahi kuwepo mtu wa aina hiyo.tukutumie tiketi,ukaitembelee familia yake Botswana?
Ok kipi chanzo cha kifo cha marehemu?Ni kumkosea heshima marehemu, kama tulivyomfahamu, na wengine, eti alikufa kwa ngoma....haya ndugu, twawashukuruni....lakini kumbukeni, njia yetu sote
Nitajie hata watatu na mirengo yao.Wapo....
Movement imeshafanikiwa, hii movement iko katika consciousness levelKwa viongozi hawa wa kiafrika mnadhani inaweza kuwa ni changamoto kwenu kushindwa kufanikisha hii movement?
Koffi Annan, Thabo Mbeki, John PombeMagufuli kwa uchache, movement iko beyond politics, it's individuals like you and me,who will make a change....sahau kabisa siasa, jiangalie wewe, je wewe binafsi, unafanya nini, kuikomboa AfricaNitajie hata watatu na mirengo yao.
We wont say that...hatuweziOk kipi chanzo cha kifo cha marehemu?
Ndugu, na familia yake,ni wengi mno duniani, wote wapenda haki, na ukombozi wa mtu,mweusiHuyo marehemu kama ana familia basi ni members tu wa JF na si vinginevyo,maana kiuhalisia sidhani kama kuliwahi kuwepo mtu wa aina hiyo.
Sasa unaonaje unitumie hiyo tiketi ili nionane na wewe?
Sifa zote hizo, zina fiti profile ya Yesu, na bado, unaamini alikuwepomarehemu wa kufikirika... marehemu hewa.... marehemu wa mtandaoni. [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
We are more than Rastas.....way beyond, sisi ndio kina cha ukinani, wana kindakindakisasa kwanini mmeanzisha hii thread if you are not entitled to give out any information about the deceased person?.
by the way nilikuwa sijajua kama najadiliana na watu wenye imani kirasta.
i rest my case. [emoji377] [emoji377] [emoji377].[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na asiyeielewa barua,si yake,haimuhusutakataka.
Natamani kujiunga na hii movement, nimeanza kushawishika na maelezo yakoWe are more than Rastas.....way beyond, sisi ndio kina cha ukinani, wana kindakindaki
UnakaribishwaNatamani kujiunga na hii movement, nimeanza kushawishika na maelezo yako