Goodbye our commander Umkontho

Goodbye our commander Umkontho

Unaruhusiwa kuwaza upendavyo, wengine marehemu tulimfahamu! Lakini ukiambiwa yesu hakuzaliwa, hakuishi, hakusulubiwa wala kamwe hatorudi tena unabisha sana, Wala huhoji, ila unaona wepesi sana kusingizia watu wana multiple identities,na balali je mbona alizikwa ulaya?

wewe na hao wenzio wachache mnaojifanya kujua habari za huyo marehemu wenu wa kufikirika ni wajinga.
 
Kama msiba haukuhusu, na movement hii, unataka nini?
kama hayatuhusu, kwanini mmeleta hii habari hapa kwenye public forum?si mgeunda tu group la whatsapp ili mjadili kivyenu.

mbona mkiulizwa details za huyo marehemu wenu hamtaki kuzitoa, kama sio ujinga ni nini?. stupid thread of month.
 
kama hayatuhusu, kwanini mmeleta hii habari hapa kwenye public forum?si mgeunda tu group la whatsapp ili mjadili kivyenu.

mbona mkiulizwa details za huyo marehemu wenu hamtaki kuzitoa, kama sio ujinga ni nini?. stupid thread of month.
Sababu, haziko katika mamlaka yetu, kuzitoa....
 
Back
Top Bottom