Goodbye our commander Umkontho

Goodbye our commander Umkontho


Jana ID yake ya humu ilikuwa active
Je wewe ndio unaiendesha au kuna mwingine au hajafa? Au sio yake alitumia?

Kama alikufa alizikwa wapi? Na lini?
Wekeni picha za msiba etc

Screenshot_20180704-111115.jpg
 
Jana ID yake ya humu ilikuwa active
Je wewe ndio unaiendesha au kuna mwingine au hajafa? Au sio yake alitumia?

Kama alikufa alizikwa wapi? Na lini?
Wekeni picha za msiba etc

View attachment 802351
Waseme mara ngapi? Ya kwamba account hii Iko chini ya uangalizi wa wanasheria wake wakitoa fursa yenu ndugu kumwaga mwanaharakati huyu???? Na itafungwa completely baada ya siku chache zijazo?? Tumieni fursa hii kukumbuka msimamo na harakati yake badala ya kuzusha vitu visokuwa vichwa wala miguu???
 
Inafurahisha, namna wat u wanaendelea, kuhisi hivyo, usichofahamu ni kwamba watu hawa walikuwa karibu mno, nashangaa watu,bila kujua muktadha wa response katika uzi husika, wameishia kuvumisha ghushi na uzushi huu, nawafahamu madada hawa watatu,tofauti kabisa
mkuu nimeuliza tu
 
Back
Top Bottom