Fatima binti hemedi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,665
- 2,328
Uko uzi mwembamba mno wa wazimu, baina ya kufikirika na kusadikikaGet some help, you are going senile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko uzi mwembamba mno wa wazimu, baina ya kufikirika na kusadikikaGet some help, you are going senile.
Kwani wewe ni kama nani kwa marehemu hadi uweze kujua kuhusu kifo cha marehemu ila mie nisijue?We wont say that...hatuwezi
No commentKwani wewe ni kama nani kwa marehemu hadi uweze kujua kuhusu kifo cha marehemu ila mie nisijue?
Au ndiyo mnataka kuja kutuambia hiyo movement yenu ndiyo imefanya auliwe?
1998??????Enyi wa imani haba, wenye kubisha, mbona kaka enu Michael Jackson aliuliwa mwaka 1984, hamjui, na Mzungu akatengenezwa kuwa Michael Jackson wenu,mliyezika mwaka 1998☺☺☺☺☺☺☺
Ni utoto mtupu tu yani umetoa kafara account moja ili baadaye kusema hiyo movement ndiyo imefanya marehemu uliwe.No comment
Nikumbushe1998??????
Hahaha mie sio mpotevu,sikua najua hy movement ,au wasiojua ndio wana wapotevu? OK najiungaje hukoUnakaribishwa
Karibu nyumbani mwana mpotevu
Movement yake, ndio, yetu, iweje tumuue tena? Mbona taarifa zilisema bayana aliumwa muda mfupi...within a week?Ni utoto mtupu tu yani umetoa kafara account moja ili baadaye kusema hiyo movement ndiyo imefanya marehemu uliwe.
Na kwanini nisijue kila kitu? kipi kinachozuia nisijue kila kitu?Huitaji kujua kila kitu, ili kujua
Sikumaanisha kukudhalili, mtu yeyote asiye jitambua, ni mpotevu, hana kwao, wewe umefanya uamuzi sahihi, karibu nyumbani, tena tutakupokea kwa shangwe na vigeregereHahaha mie sio mpotevu,sikua najua hy movement ,au wasiojua ndio wana wapotevu? OK najiungaje huko
Kwa sababu, huwezi kujua kila kitu, wewe si munguNa kwanini nisijue kila kitu? kipi kinachozuia nisijue kila kitu?
Ahsante sana ,nipe muongozoSikumaanisha kukudhalili, mtu yeyote asiye jitambua, ni mpotevu, hana kwao, wewe umefanya uamuzi sahihi, karibu nyumbani, tena tutakupokea kwa shangwe na vigeregere
polepole jithibitishe kwanza, upitie jando mwitu, tukukate akili yako kutoka kufuli la misukuleni, ukifaulu, utakuwa mmoja wetuHahaha mie sio mpotevu,sikua najua hy movement ,au wasiojua ndio wana wapotevu? OK najiungaje huko
Sawa ngoja tu ni baki na marasta Wangu huku mbezipolepole jithibitishe kwanza, upitie jando mwitu, tukukate akili yako kutoka kufuli la misukuleni, ukifaulu, utakuwa mmoja wetu